Mauaji ya Albino ni aibu kwa Tanzania
Raisi wa Tanzania Jakaya Kikwete ameahidi kumaliza kabisa wimbi la mauaji ya Albino,yanayolitia aibu kubwa taifa lake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 May
Mauaji ya albino Tanzania
10 years ago
Mtanzania20 Feb
UN yaingilia kati mauaji ya albino Tanzania
GENEVA, USWISI
KAMISHNA wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (UN), Zeid Ra’ad Al Hussein, ameitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwashtaki watu waliohusika na uhalifu wa mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Al Hussein amehoji vitendo hivyo kujitokeza wakati nchi ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Tamko hilo alilitoa jana ambapo alilaani vikali mauaji ya mtoto albino Yohana Bahati mwenye umri wa mwaka mmoja.
“Nalaani vikali...
9 years ago
Habarileo16 Oct
‘Tanzania inachukua hatua kukomesha mauaji ya albino’
MWAKILISHI wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN), Balozi Tuvako Manongi amesema, hatua stahiki zinaendelea kuchukuliwa dhidi ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), tofauti na inavyofikiriwa na baadhi ya watu.
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ny5jqDXwym4n0tpsKGrRaxkzq_npES4_mUSr02A6pnLPb3PgPrWjGj-aIJUnZuOW8bKovk-2jjyQEfvSSwpo0YWUaaPb4OwfaBpz_Ubhe5fx3HdCMsecgVWsSHeZkHqn5cz1Hrk1SLamdV3Bi2-WMtGG3Q=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Manongi-22-300x257.jpg)
Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...
10 years ago
Vijimambo16 Mar
HOUSTON, TEXAS NAO WASEMA "IMETOSHA" MAUAJI YA ALBINO TANZANIA
Ephaim (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Jenga siku ya Pazi Reunion iliyofanyika Houston. Jenga akiwa amevaa fulana yenye picha ya Albino ikiwa ni ishala ya kupinga mauaji ya ndugu zetu hao mabayo yametikisa Dunia hivi sasa.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Sycf-NXWY2Q/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Wagangambaroni kwa tuhuma za mauaji ya albino
Kadama Malunde, Shinyanga na Renatha Kipaka, Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limewatia mbaroni waganga wa tiba asilia 26 katika Wilaya za Kishapu, Shinyanga na Kahama o kupiga ramli za uchonganishi na kusababisha mauaji ya albino.
Akizungumza na wandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema operesheni ya kuwakamata waganga hao ilianza Machi mosi hadi Machi 9 mwaka huu, na baadhi ya waganga hao wamo wanaojihusisha na mauaji ya...