Mawakala Azam TV watua Brazil
MAWAKALA watatu vinara katika mauzo ya visimbuzi (ving’amuzi) vya Azam TV, juzi wamesafirishwa kuelekea Brazil kushuhudia mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia kati ya wenyeji Brazil na Ujerumani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDOGO WA AZAM FC ATINGISHA ULAYA, MAWAKALA WAANZA KUMVIZIA
Kinda wa Azam FC, Farid Mussa huenda mambo yakawa mazuri kwake akiwa na umri mdogo kabisa.Thomas Anderson raiwa Denmark amesema amepata taarifa za Farid akiwa nchini Uturuki na angependa kupata video yake ili aone kama inawezekana kumpeleka Ulaya.
Anderson ameitaja kampuni ya uwakawa wa wachezaji na kusema, anahitaji kujiridhisha kuhusiana na Farid kabla ya kwenda Azam FC.
“Nimepewa taarifa na makocha wa Hispania ambao wako kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Libya wakati Tanzania ilipocheza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s72-c/ferro.jpg)
WAPINZANI WA AZAM FC WATUA DAR KAMILI JIONI HII TAYARI KWA MECHI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s1600/ferro.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil
>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.
11 years ago
TheCitizen28 Jun
BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia
>From 32, it’s down to the last 16. Here there are no second chances. It is win or bust.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo
Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.
11 years ago
Mwananchi09 Jun
BRAZIL 2014: Rio awatabiria akina Pogba kung’ara Brazil
Ferdinand, ambaye amestaafu kuchezea timu ya taifa, atakuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano hiyo ya mwaka huu inayoanza wiki hii.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva
>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.
11 years ago
TheCitizen12 Jun
Brazil 2014: Brazil kicks off a troubled World Cup tournament
Brazil’s President Dilma Roussef vowed that her country is ready to host the most trouble-plagued World Cup in history from today as she confronted public anger at the multi-billion-dollar price tag.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
BRAZIL 2014: Ishu ya posho yamalizwa, Cameroon yaenda Brazil
Kikosi hicho, ambacho pia kinamjumuisha mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Samuel Eto’o, kiligoma kuondoka nchini humo juzi kutokana na tatizo la posho zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania