DOGO WA AZAM FC ATINGISHA ULAYA, MAWAKALA WAANZA KUMVIZIA
Kinda wa Azam FC, Farid Mussa huenda mambo yakawa mazuri kwake akiwa na umri mdogo kabisa.Thomas Anderson raiwa Denmark amesema amepata taarifa za Farid akiwa nchini Uturuki na angependa kupata video yake ili aone kama inawezekana kumpeleka Ulaya.
Anderson ameitaja kampuni ya uwakawa wa wachezaji na kusema, anahitaji kujiridhisha kuhusiana na Farid kabla ya kwenda Azam FC.
“Nimepewa taarifa na makocha wa Hispania ambao wako kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Libya wakati Tanzania ilipocheza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Samatta awavutia mawakala Ulaya
*Lowassa, Malinzi wammwagia pongezi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SASA ni wazi kuwa siku zinahesabika kwa mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta kuendelea kubaki kuichezea timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Wakati zikiwa zimesalia siku 53 dirisha dogo la usajili kufunguliwa barani Ulaya, juzi Samatta alimulikwa na mawakala wengi kutoka barani humo na hapa Afrika kwenye mchezo wa fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria.
Ukiondoa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Mawakala Azam TV watua Brazil
MAWAKALA watatu vinara katika mauzo ya visimbuzi (ving’amuzi) vya Azam TV, juzi wamesafirishwa kuelekea Brazil kushuhudia mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia kati ya wenyeji Brazil na Ujerumani...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]
The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PtAZ8RXsWbIWDdaoo8jbNo7K4KsAUSmW12JZW-v38uBOvLNtkoDtVOzsua3m*NBOtc8o5Mjfq5IMlwdWrHZPHX/3dogolilanaHilal3.jpg?width=650)
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
10 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr5zfo6IeM4/VQbu8C2l2FI/AAAAAAAHKvY/EUu7FPiuGn4/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
COASTAL UNION WAANZA KUIPIGIA HESABU AZAM FC
TIMU ya Coastal Union imewasilia jijini Tanga ikiwa na mikakati mizito ya kuhakikisha inawanyamazisha wapinzani wao Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara mchezo unaotarajiwa kucheza kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wikiendi ijayo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr5zfo6IeM4/VQbu8C2l2FI/AAAAAAAHKvY/EUu7FPiuGn4/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Wataalamu kutoka Ulaya kuiongoza Azam FC
9 years ago
Global Publishers05 Jan
D’Banj atingisha mitaa na Porsche
Gari aina ya Porsche analomiliki D’Banj.
MASHABIKI wa nyota wa muziki nchini Nigeria, D’Banj, wanasema msanii huyo hivi sasa ‘anaipaka rangi’ nyekundu mitaa ya jijini Lagos wakati anapozunguka hapa na kule akitumia gari lake jekundu aina ya Porsche ambalo alizawadiwa na makampuni ya simu yaliyomfanya kuwa balozi wake.
Miongoni mwa sehemu ambazo D’Banj amekuwa akikatiza mitaa na kuwavutia watu wengi ni pamoja na kwenda kumtembelea rafiki yake aitwaye Timaya ambapo alikwenda kusherehekea...