Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


D’Banj atingisha mitaa na Porsche

5-8-3
 Gari aina ya Porsche analomiliki D’Banj.

MASHABIKI wa nyota wa muziki  nchini Nigeria, D’Banj,  wanasema msanii huyo hivi sasa ‘anaipaka rangi’  nyekundu mitaa ya jijini Lagos wakati anapozunguka hapa na kule akitumia gari lake jekundu aina ya Porsche ambalo alizawadiwa na makampuni ya simu yaliyomfanya kuwa balozi wake.

imageMiongoni mwa sehemu ambazo  D’Banj amekuwa akikatiza mitaa na kuwavutia watu wengi ni pamoja na kwenda kumtembelea rafiki yake aitwaye Timaya ambapo alikwenda kusherehekea...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATINGISHA JIMBONI KWA NGELEJA LEO

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwasili kuhutubia mkutano wa hadhara aliofanya katika Viwanja vya CCM, wilaya ya Sengerema mjini, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na Uhai wa Chama mkoani Mwanza, leo.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara aliofanya katika viwanja vya Ofisi ya CCM, wilaya ya Sengerema mjini, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama mkoani...

 

9 years ago

Vijimambo

DOGO WA AZAM FC ATINGISHA ULAYA, MAWAKALA WAANZA KUMVIZIA


Kinda wa Azam FC, Farid Mussa huenda mambo yakawa mazuri kwake akiwa na umri mdogo kabisa.Thomas Anderson raiwa Denmark amesema amepata taarifa za Farid akiwa nchini Uturuki na angependa kupata video yake ili aone kama inawezekana kumpeleka Ulaya.

Anderson ameitaja kampuni ya uwakawa wa wachezaji na kusema, anahitaji kujiridhisha kuhusiana na Farid kabla ya kwenda Azam FC.

“Nimepewa taarifa na makocha wa Hispania ambao wako kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Libya wakati Tanzania ilipocheza...

 

9 years ago

BBCSwahili

VW yakanusha dai dhidi ya Porsche na Audi

Kampuni ya kutengeneza magari kutoka Ujerumani Volkswagen, imekanusha madai ya uchafuzi wa mazingira dhidi ya magari ya kifahari ya Porsche na Audi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Paul Walker aishtaki Porsche

Mwanawe marehemu msanii nguli wa 'Fast and Furious' Paul Walker ameishtaki kampuni ya kutengeneza magari ya Porsche kwa ajali iliyomuua babake

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Paul Walker aishtaki kampuni ya Porsche

Mtoto wa kike wa Paul Walker anaishtaki kampuni ya Porsche, kwa kudai kuwa gari hilo la michezo lililomuua baba yake miaka miwili iliyopita lilikuwa na kasoro za utengenezaji. Mashtaka hayo yaliyowasilishwa Jumatatu hii na Meadow Rain Walker yanataka kulipwa kwa hasara ambazo hazijatajwa kwa makosa ambayo wanasheria wake wanadai yalimfanya muigizaji huyo kunaswa kwenye gari […]

 

9 years ago

Bongo5

Baba yake Paul Walker naye awashtaki Porsche kwa kifo cha mwanae

Paul-Walker

Baba yake na Paul Walker Jumatano hii amewasilisha mashtaka dhidi ya kampuni ya magari ya Porsche akidai kuwa gari ambalo mwanae alikuwa akiendesha lilikosa vitu vya kiusalama ambavyo vingeweza kuokoa maisha yake.

Paul-Walker

Muigizaji huyo wa Fast & Furious alifariki November 2013 kwenye ajali mbaya ya gari huko Santa Clarita, Calif., iliyomuua pia rafiki yake Roger Rodas, dereva wa gari aina ya 2005 Porsche Carrera GT.

Mashtaka hayo ni kama yale yaliyowasilishwa na mtoto wa Meadow, ...

 

5 years ago

GSMArena.Com

Unofficial Huawei P40 Porsche Design case lacks the symmetry of previous PD phones - GSMArena.com news

Unofficial Huawei P40 Porsche Design case lacks the symmetry of previous PD phones - GSMArena.com news  GSMArena.com

 

9 years ago

Global Publishers

D’Banj: Olamide si mwizi

imageHATIMAYE, mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’Banj, amejibu tuhuma za prodyuza wa muziki, Dee Vee, anayemiliki kampuni ya DB Records kwamba rapa Olamide aliiba mistari kadhaa ya wimbo wake (DeeVee).

Itakumbukwa na wafuatiliaji wa muziki kwamba wiki kadhaa zilizopita, DeeVee alisema Olamide aliiba mstari kutoka katika wimbo wa D’Banj uitwao ‘Shake It’ ambao bado haujatoka.

Hata hivyo, D’Banj amesema hawezi kukiita kitendo hicho kuwa ni wizi bali ni changamoto njema. Alisema kwamba nyumba yake iko...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani