Mawasiliano ya kidijitali yanavyosaidia kutuleta pamoja
![](https://1.bp.blogspot.com/-BGRDODBnPiU/XtExlhd6-CI/AAAAAAALr_I/jXa88mxyOksHlzwEtdnwb9ZKSK5LeLqnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B4.59.36%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UGONJWA wa korona (COVID-19) umebadili maisha ya watu wengi kwa namna ambazo hatukutegemea. Moja ya badiliko kubwa ni lile la kupunguza mikusanyiko, kubaribiana na wengine kuathiri mipango ya safari.
Bahati nzuri teknolojia ya mawasiliano kama mitandao ya kijamii, video calls na nyingine sawa na hizo zimetusaidia kuendelea kuwasiliana huku tukipunguza mikutano na mikusanyiko.
Katika wakati huu, kampuni za mawasilino ya simu nchini Tanzania zimefanya kila jitihada kusaidia wateja wake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9mxJYSofjYk/XrmOR62OqYI/AAAAAAALp1E/S6qSqH6Qz8g3DQ5XK7gRs6iPmOptZDcyACLcBGAsYHQ/s72-c/TEHAMA.jpg)
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUIMARISHA MFUMO WA MAWASILIANO WA KIDIJITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9mxJYSofjYk/XrmOR62OqYI/AAAAAAALp1E/S6qSqH6Qz8g3DQ5XK7gRs6iPmOptZDcyACLcBGAsYHQ/s640/TEHAMA.jpg)
Pichani kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga akishauri namna ya kuboroa mfumo wa mawasiliano wa Taasisi hiyo kidijitali.
Na Sixmund J.Begashe Makumbusho ya Taifa nchini imeweka mikakati ya kuimarisha mifumo ya kimawasiliano kidijiitali ili kuendana na kasi ya Sayansi na Teknolojia Duniani.
Akizungumza katika kikao maalumu cha kupitia hatua za Maboresho ya Mifumo hiyo kilicho udhuriwa na wajumbe wa Menejimenti ya uongozi wa Dar Es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3Z*jNpV3ESL7WGaIS5R2fXbZY0T5PLETuB7NBbWzSAYxvplQeJlC7LpNAXbmxijPaMLc1NQpdvdicuuOj8lukW/147.jpg?width=550)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Saa za kidijitali za LG
9 years ago
MichuziMapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eTRF36d7Qps/U1aIEBzD7_I/AAAAAAAFcT8/yMcril5FHUE/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ashuhudia makampuni ya simu yakiweka saini mkataba wa makabaliano ya usambazaji huduma za mawasiliano vijijini
![](http://4.bp.blogspot.com/-eTRF36d7Qps/U1aIEBzD7_I/AAAAAAAFcT8/yMcril5FHUE/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYPBc82Rwk8/U1aIFHnaNeI/AAAAAAAFcUE/yoCEBleKf-Y/s1600/unnamed+(18).jpg)
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Faini barabarani kulipwa kidijitali TZ
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH4x28EWiNLgnRw9my3tVEd2Br2FHvIRyR4jYCST4CIe8O7pDGuQ4X6RVZd4YZDRcPVf4FWrKKbRJhi15sUgngfi/mabeto.jpg)
MABETO: NAVAA NUSU UTUPU KIDIJITALI
10 years ago
MichuziTCRA YAKAMILISHA MFUMO WA KIDIJITALI NCHI NZIMA
MAMLAKA ya mawasiliano Tanzania (TCRA) wamekanilisha mfumo wa kidijitali kwa nchi nzima.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Meneja Mawasiliano wa mamlaka hiyo, Innocent Mungy, amesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kutekeleza maazimio ya nchi zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC ) na yale ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Amesema mfumo wa analojia ulizimwa rasmi Desemba 31,2012,kwa mujibu wa makubaliano ya nchi mwanachama wa jumuiya ya Afrika...