MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYAwLjj9yMDIOcdKLGz*z-vc98YoTkVpMPA9Xp1*6S9TRh5DMTjDtUsmdSpo2BWhbOPRsOxmGRnImaKyaAsheBXF/KIKWETEKTKMAZISHIYAMGIMWA1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo Desemba 6, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7r-kGNxS-ZQtkx4eFXm5fWrwUJn*8gpHLPpR70VW9*zKkNj770Nsry*zxxADjyAkhvcr9fnzNHhiStkEYnYUyz2/chadema.png?width=350)
CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi na Mbunge wa Kalenga, Dkt. William Mgimwa ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu Afrika Kusini. Kwa masikitiko makubwa CHADEMA kinatuma salaam za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuondokewa na msaidizi wake wa karibu na mtumishi mwenzake serikalini. Chama kinatoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R18dQGI6uh*OEDQmU*V0WJIDjB5CeRfxoptceqc-YNuRtvwqO1YgLTM9eTokQwwPaFkQBP9KtUrbLguAEQDjHcS/1536668_695124830520391_2134470031_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTd5n8qhD8KSIgP-sx-fGwah9jXa0lBVM2Dk8zi08u2EDBN7MOPDHF3c4JvuVtHGwY2Y1oXGqRsG*s5W8yYUVMH/2m1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA DKT WILLIAM MGIMWA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Dkt William Mgimwa viwanja vya Karimjee Hall jijini Dar es Salaam jana Januari 5, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma wakiaga mwili wa Dkt William Mgimwa.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6gQXZJXBnGA/VDeXjueDgRI/AAAAAAAGo9U/uHr0g6HmIsM/s72-c/2007%2BLondon%2BPhotos%2B002.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania