Mazishi ya kijana yaahirishwa palestina
Shughuli za mazishi ya kijana aliyetekwa na kuuawa yaahirishwa kufuatia mgogoro wa kuupata mwili wake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuq-4t*Nt2L4ECX2bCLU3Bf3g6-y-pJK08-Tt4HnekFM9hdhWDaEhIrtiJcKDgCTwj9N5l4TVt63tQB3pY0CAxGS/MAAJABU.jpg)
KIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8cmQgYykoU/VItORO4d98I/AAAAAAAG23o/zJ2v5sikeOw/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Kesi ya ghorofa yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...
10 years ago
Habarileo03 Jul
Kesi ya Gwajima yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.
10 years ago
BBCSwahili07 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL*JXWP87OtJnj11lPp0p*9X-RG1EvW42qkHkjOubzPxxRygZs8LrQqaA7CZpZt41HKb9Js4RHOs5JYJRH7w6CIx/msofe.jpg?width=650)
KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
Habarileo07 Jan
Treni kwenda Bara yaahirishwa
TRENI ya abiria ya kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa ya Bara, iliyokuwa iondoke leo imeahirishwa, kutokana na ajali ya treni ya mizito iliyotokea juzi usiku katika stesheni za Luiche na Kigoma.