MBALI NA KUKOSA TUZO, DIAMOND GUMZO MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-60LJo0bBzPxnfofYQ4Cb4UFXIJgEdFB4Utm1kcWN4l0vGk1Tq3BdNqf7gKOTvsEjTHFvwfNogcbjBLckHXB18H/platnumz.jpg)
Diamond Platnumz akisalimiana na kupiga stori na rapper Cornell Iral Haynes 'Nelly'. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' amezidi kupasua anga la kimataifa kwa kuhudhuria Tuzo za BET 2014, Los Angeles, Califonia nchini Marekani usiku wa kuamkia leo na kuwa gumzo nchini humo. Kwenye tuzo hizo, Diamond alikuwa akiwania Tuzo ya Msanii Bora wa Kimataifa kutoka Afrika 'Best International Act: Africa' ambayo ilichukuliwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Oscars, Brits na Baftas: Je tuzo kuu hujumuisha watu wa tabaka mbali mbali?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-vL9Pf3ulZ4/default.jpg)
10 years ago
GPLBAADA YA KUTWAA TUZO 3 SAUZ, DIAMOND KUPIGA SHOO MAREKANI
9 years ago
Bongo514 Aug
Diamond achaguliwa kuwania tuzo mbili za IRAWMA 2015 za Marekani
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma
11 years ago
Bongo522 Jul
Tuzo za AFRIMMA kufanyika Jumamosi hii (July 26) Marekani, T-Pain, Davido, Diamond, Iyanya kutumbuiza