Mbeya kuanza kutekeleza agizo la Dk Magufuli
Zaidi ya Sh3.5milioni zimetumika kununulia dawa kwa ajili ya wagonjwa wa virusi vya ukimwi Mkoani Mbeya ikiwa ni utekelezaj agizo la Rais Dk John Magufuli la kuzitaka fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya kufanya sherehe ya maadhimisho ya siku ya ukimwi dunia kununulia dawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015
Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...
9 years ago
MichuziMSD YAKARABATI JENGO LA DUKA LA DAWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA KASI KUBWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS DK.MAGUFULI
BOHARI ya Dawa (MSD) imejiimarisha na kuhahikisha inatekeleza kwa wakati agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuweka maduka ya dawa katika hospitali za rufaa na kanda nchini.
Katika kutekeleza agizo hilo MSD imeanza kwa kasi kubwa ya kukarabati jengo la duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambalo linatarajiwa kufunguliwa kesho.
Mwandishi wa habari hii alishuhudia jana kasi kubwa ya mafundi ujenzi wakikarabati jengo hilo ambalo awali lilikuwa...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Tamisemi yaanza kutekeleza agizo
10 years ago
Habarileo15 Oct
Rukwa wahaha kutekeleza agizo la JK
MKOA wa Rukwa unakabiliwa na changamoto ya kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, baada ya kubainika asilimia 10.6 ndizo zimekamilisha ujenzi huo.
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Watakaoshindwa kutekeleza agizo la JK wapewe tiketi ya kwaheri
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Mambo ya nje kutekeleza agizo la Rais ‘kijeshi’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCWKIuOFvAEaG6uHmRrF19E9x3uLYFjDlYpNrhonLAFflfu6DkUiCbsywQpEGRHseAiy39crWDp5gMOZfk2h0VE/image.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KWENYE MAKAZI YA WATU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s72-c/001.jpg)
MEYA MWENDA AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MBWENI, BOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ryC8grrtyPQ/VVkHwZZmfAI/AAAAAAAHXz8/uNyabLw5tBc/s640/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Gxg_9JvgO4/VVkHwm8ATiI/AAAAAAAHXz0/eHBYT82a2pA/s640/003.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s72-c/001.jpg)
MEYA KINONDONI AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MBWENI, BOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ryC8grrtyPQ/VVkHwZZmfAI/AAAAAAAHXz8/uNyabLw5tBc/s640/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Gxg_9JvgO4/VVkHwm8ATiI/AAAAAAAHXz0/eHBYT82a2pA/s640/003.jpg)