Tamisemi yaanza kutekeleza agizo
Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeziagiza halmashauri nchini kuanzisha programu maalumu ya chakula kwa shule zote za msingi zilizokuwa zikichangiwa na wazazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Oct
Rukwa wahaha kutekeleza agizo la JK
MKOA wa Rukwa unakabiliwa na changamoto ya kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, baada ya kubainika asilimia 10.6 ndizo zimekamilisha ujenzi huo.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mbeya kuanza kutekeleza agizo la Dk Magufuli
Zaidi ya Sh3.5milioni zimetumika kununulia dawa kwa ajili ya wagonjwa wa virusi vya ukimwi Mkoani Mbeya ikiwa ni utekelezaj agizo la Rais Dk John Magufuli la kuzitaka fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya kufanya sherehe ya maadhimisho ya siku ya ukimwi dunia kununulia dawa.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Mambo ya nje kutekeleza agizo la Rais ‘kijeshi’
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema imeanza kutekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa haraka kama jeshi juu ya kuiwakilisha Serikali katika masuala mbalimbali nje ya nchi baada ya kusitishwa safari za nje kwa maofisa wote wa ndani.
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Watakaoshindwa kutekeleza agizo la JK wapewe tiketi ya kwaheri
Zimesalia siku chache kabla ya kuingia mwezi mwingine wa Novemba. Ni mwezi mchungu kwa watendaji wa wilaya kupitia halmashauri mbalimbali waliopewa hadi mwezi huo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCWKIuOFvAEaG6uHmRrF19E9x3uLYFjDlYpNrhonLAFflfu6DkUiCbsywQpEGRHseAiy39crWDp5gMOZfk2h0VE/image.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KWENYE MAKAZI YA WATU
Mkuu wa mkoa wa Dar es slaam,Saidi Meck Sadiki(katikati) akiangalia athari ya maji yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni jijini Dar es slaam akiwa ameambatana na wakazi wa eneo hilo la Kunduchi Ununio.Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na DAWASA inaendelea na zoezi la kuyaondoa maji hayo pamoja na ujenzi wa mfereji mkubwa kuelekea baharini utakaokusanya maji kutoka Bunju na Kunduchi na kuyapeleka bahari ya...
9 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015
Mkoa wa Dodoma umeanza rasmi kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli lililotaka kufanyika kwa usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya nchi siku ya tarehe 9 Disemba, 2015 kama mojawapo ya maadhimisho ya siku ya uhuru na kuwataka viongozi na wataalamu kusimamia utekelezaji wa agizo hilo.
Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...
Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s72-c/001.jpg)
MEYA MWENDA AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MBWENI, BOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ryC8grrtyPQ/VVkHwZZmfAI/AAAAAAAHXz8/uNyabLw5tBc/s640/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Gxg_9JvgO4/VVkHwm8ATiI/AAAAAAAHXz0/eHBYT82a2pA/s640/003.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s72-c/001.jpg)
MEYA KINONDONI AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MBWENI, BOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UDy3pdCcknI/VVkHuzVlHVI/AAAAAAAHXzs/Toe7XcUxLOo/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ryC8grrtyPQ/VVkHwZZmfAI/AAAAAAAHXz8/uNyabLw5tBc/s640/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Gxg_9JvgO4/VVkHwm8ATiI/AAAAAAAHXz0/eHBYT82a2pA/s640/003.jpg)
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Iran yaanza kutekeleza mkataba wa nyuklia
Iran imeanza kutekeleza vipengee vya mkataba wa kufuta mradi wake wa nyuklia iliyokubaliana na mataifa ya makubwa duniani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania