Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe kuanzisha kundi la marafiki wa Tanganyika

Dalili za suala la mfumo wa Muungano kuliteka Bunge Maalumu la Katiba zimeanza kujionyesha baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Freeman Mbowe kuanza mchakato wa kuanzisha kundi la kutetea kurudi kwa Tanganyika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO

Kundi la Vijana ambao ni marafiki wa Lowasa Kanda ya Kaskazini.Mratibu wa Marafiki wa Lowasa kanda ya Kaskazini Noel Nnko akitoka kufanya usajili kaba ya kuanza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro.Mratibu wa marafiki wa Lowasa Noel Nnko akiagwa na mdau wa utalii kanda ya kaskazini Aggrey Makia kabla kundi la vijana ambao ni marafiki wa Lowasa wanaopanda mlima Kilimanjaro.
Baadhi ya vijana .Mratibu wa marafiki wa Lowasa kanda ya kaskazini ,Noel Nnko akizungumza na waandishi wa habari kabla ya...

 

10 years ago

Michuzi

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASSA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO

Mratibu wa marafiki wa Lowassa kanda ya kaskazini ,Noel Nnko akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro ikanza.Askari wa hifadhi akiwapekua wasaidizi wa watalii kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro.Kundi la vijana ambao wanajitaja kama marafiki wa Lowassa wakiwa katika njia ya kuanzia kupanda Mlima Kilimanjaro katika lango la Marangu. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.

Baadhi ya vijana ambao ni marafiki wa Lowasa wakiwa katika safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Kundi la marafiki wa Lowasa kutoka kana ya Kaskazini wakiwa katika kituo cha Kibo ,wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwenda kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro.Sehemu ya juu ya mlima Kilimanjaro ikiwa imefunikwa kwa theruji.
Kundi la Marafiki wa Lowasa wakiwa katika kituo cha Stella,kikiwa ni kituo cha mwisho kuelkea kilele cha Uhuru .Mandhari mbalimbali zinayoonekana wakati wa kuupanda Mlima...

 

10 years ago

Michuzi

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASSA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO

Safari ya siku tano kwa vijana hao ikahitimishwa katika kilele cha Uhuru Peak wakiongozwa na mratibu wa marafiki wa Lowassa Kanda ya Kaskazini Noel Nnko (mwenye koti jekundu)Safari ya kurudi kiasi ilikuwa tatizo wakati mwingine baadhi yao walilazimika kupewa msaada kwenye kifaa maalumu cha kushushia wageni waliopata matatizo. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA NA CANADA KUUNDA KUNDI LA NCHI MARAFIKI KUHUSU AFYA YA MAMA NA MTOTO

Mhe. Rais Jakaya Kikwete ambaye amekuwa mstari wa mbele katika juhudi za kuboresha afya ya mama, mtoto mchanga na mtoto anaoneka katika picha hii kutoka maktaba akimjulia hali mama mzazi pamoja na watoto wake. Mhe. Rais Kikwete na Waziri Mkuu wa Canada ni wenyeviti wenza wa Kamisheni ya Habari na Uwajibikaji katika masuala ya Afya ya Mama na Mtoto. Juhudi za Rais na Waziri Mkuu katika eneo hilo zitapatiwa msukumo zaidi wakati wa majadiliano ya ajeda ya maendeleo baada ya mwaka...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA CANADA KUUNDA KUNDI LA NCHI MARAFIKI KUHUSU AFYA YA MAMA NA MTOTO

Mhe. Rais Jakaya Kikwete ambaye amekuwa mstari wa mbele katika juhudi za kuboresha afya ya mama, mtoto mchanga na mtoto anaoneka katika picha hii kutoka maktaba akimjulia hali mama mzazi pamoja na watoto wake. Mhe. Rais Kikwete na Waziri Mkuu wa Canada ni wenyeviti wenza wa Kamisheni ya Habari na Uwajibikaji katika masuala ya Afya ya Mama na Mtoto. Juhudi za Rais na Waziri Mkuu katika eneo hilo zitapatiwa msukumo zaidi wakati wa majadiliano ya ajeda ya maendeleo baada ya mwaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

11 years ago

GPL

SHALUWA NA SEMINA YA MARAFIKI

Joseph Shaluwa. MTAFITI na mshauri wa maisha, uhusiano na mapenzi Joseph Shaluwa ataendesha semina ya kirafiki aliyoipa jina la Joseph Shaluwa Love Talk yenye lengo la kutoa mada zinazojadili matatizo mbalimbali ndani ya uhusiano na ndoa. Akizungumza na gazeti hili, Shaluwa alisema semina hiyo itafanyika Jumapili, Februari 23, mwaka huu katika Hoteli ya Johannesburg, Sinza – Mori jijini Dar Salaam kwa kiingilio cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msingwa: Majangili ni marafiki wa JK

KUSHAMIRI kwa vitendo vya ujangili nchini kumedaiwa kunatokana na wahusika kuwa marafiki wa Rais Jakaya Kikwete na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Msemaji Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani