SHALUWA NA SEMINA YA MARAFIKI
Joseph Shaluwa. MTAFITI na mshauri wa maisha, uhusiano na mapenzi Joseph Shaluwa ataendesha semina ya kirafiki aliyoipa jina la Joseph Shaluwa Love Talk yenye lengo la kutoa mada zinazojadili matatizo mbalimbali ndani ya uhusiano na ndoa. Akizungumza na gazeti hili, Shaluwa alisema semina hiyo itafanyika Jumapili, Februari 23, mwaka huu katika Hoteli ya Johannesburg, Sinza – Mori jijini Dar Salaam kwa kiingilio cha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSEMINA YA JOSEPH SHALUWA LOVE TALK YAFANA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s1600/unnamed+(6).jpg)
5 years ago
The Citizen Daily25 Feb
MEET THE AUTHOR: Joseph Shaluwa takes us through his literary paths
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fmgbYtTJHPFri2BgLx3f6h5mU7n8eZpyNud0IZoeEo4PO0faq7nZPQktBDZhn8YKIJyZRWxyMGl4L0FzEJTCK7N/CHEKANAKITIME.jpg)
MARAFIKI WENGINE NI SHIIIDA
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Msingwa: Majangili ni marafiki wa JK
KUSHAMIRI kwa vitendo vya ujangili nchini kumedaiwa kunatokana na wahusika kuwa marafiki wa Rais Jakaya Kikwete na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Msemaji Mkuu...
10 years ago
Mtanzania04 May
Johari awashangaa marafiki zake
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Blandina Chagula ‘Johari’, ameshangaza kutokufahamu uhusiano wa urafiki na watu maarufu baada ya kudai anashangaa kuwa na marafiki wengi kwa sasa.
Msanii huyo alifikia hatua hiyo baada ya kusema kuwa kabla ya kuingia kwenye uigizaji hakuwa na marafiki lakini baada ya kuingia katika fani hiyo na kuwa maarufu amekuwa na idadi kubwa ya marafiki.
“Najulikana kwa sasa na naamini ustaa wangu na kazi zangu nilizofanya kwa umaridadi ndio unaonipa marafiki...
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Marafiki wa Lowassa watembelea yatima
NA MARY MWITA, ARUMERU
ZAIDI ya vijana 200 wa 4 U Movement Friends of Lowassa wametembelea watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto cha Save Africa kilichoko Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha na kutoa zawadi ya Pasaka kwa watoto hao.
Kabla vijana hao hawajatembelea kituo hicho na kula chakula na watoto hao, walitembea kwa maandamano kutoka eneo la Usa River hadi kituoni hapo.
Wakati wa matembezi hayo, walikuwa wakiimba nyimbo za kumsifu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuonyesha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbae4LfqXNyssQxoWMWRGkzS1u5Wta8lcqws-Je95JdtnPSB9CnpiIXEB7eAAoHEmMVjTh8R1FbK7puP7FmRai3c1/MAHABA.jpg?width=650)
MWAKA WA 7 SASA, BADO MARAFIKI TU!
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Marafiki wa NASA wafukuzwa Kenya