Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARAFIKI WENGINE NI SHIIIDA

Yaani  alfajiri ya leo nikiwa bado niko ndotoni naota nina gari la kifahari, nikaamshwa na mtu anagonga mlango, nilimlaani kwa kuwa gari niliyokuwa nayo ilikuwa na kiyoyozi, muziki kwa mbali, harufu ya pafyumu ya gari ikichanganyika na harufu ya pafyumu ya bei mbaya ya mtoto mwenye umbo la ki-Miss niliyekuwa naye kwenye gari vilikuwa vikinifanya nijisikie kama niko Ulaya hivi. Halafu ghafla mtu ananiamsha najikuta gizani,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Msingwa: Majangili ni marafiki wa JK

KUSHAMIRI kwa vitendo vya ujangili nchini kumedaiwa kunatokana na wahusika kuwa marafiki wa Rais Jakaya Kikwete na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Msemaji Mkuu...

 

11 years ago

GPL

SHALUWA NA SEMINA YA MARAFIKI

Joseph Shaluwa. MTAFITI na mshauri wa maisha, uhusiano na mapenzi Joseph Shaluwa ataendesha semina ya kirafiki aliyoipa jina la Joseph Shaluwa Love Talk yenye lengo la kutoa mada zinazojadili matatizo mbalimbali ndani ya uhusiano na ndoa. Akizungumza na gazeti hili, Shaluwa alisema semina hiyo itafanyika Jumapili, Februari 23, mwaka huu katika Hoteli ya Johannesburg, Sinza – Mori jijini Dar Salaam kwa kiingilio cha...

 

10 years ago

GPL

DIDA, EZDEN WAMEBAKI MARAFIKI

Stori: Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko
WATANGAZAJI ambao walikuwa wanandoa kabla ya kuachana, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wamemaliza tofauti zao na sasa wamekuwa marafiki sana kiasi cha kuzua minong’ono kwamba wamerudiana. Watangazaji, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wakati wakiwa wanandoa. Baada ya minong’ono hiyo kuzidi, Risasi Vibes ilimtafuta Dida ili kueleza...

 

11 years ago

GPL

MWAKA WA 7 SASA, BADO MARAFIKI TU!

LOVE & Life ndiyo kolamu inayotukutanisha marafiki kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano na maisha. Bila shaka kwa wadau wa kona hii, watakiri kuwa imewabadilisha sana. Kama ndiyo mara ya kwanza kuanza kusoma hapa, napenda kukuhakikishia kuwa hutajutia badala yake utaendelea kujifunza mambo mapya kila siku ambayo yatabadili fikra zako kuhusu uhusiano. Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu sana, hasa kwa upande wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Marafiki wa Lowassa watembelea yatima

NA MARY MWITA, ARUMERU
ZAIDI ya vijana 200 wa 4 U Movement Friends of Lowassa wametembelea watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto cha Save Africa kilichoko Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha na kutoa zawadi ya Pasaka kwa watoto hao.
Kabla vijana hao hawajatembelea kituo hicho na kula chakula na watoto hao, walitembea kwa maandamano kutoka eneo la Usa River hadi kituoni hapo.
Wakati wa matembezi hayo, walikuwa wakiimba nyimbo za kumsifu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuonyesha...

 

5 years ago

Mwananchi

Marafiki wa NASA wafukuzwa Kenya

Kiongozi wa Nasa na mgombea nafasi ya Seneta Kaunti ya Siaya amesema marafiki zao kutoka nje ya nchi wamefukuzwa nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Johari awashangaa marafiki zake

johariGNA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Blandina Chagula ‘Johari’, ameshangaza kutokufahamu uhusiano wa urafiki na watu maarufu baada ya kudai anashangaa kuwa na marafiki wengi kwa sasa.
Msanii huyo alifikia hatua hiyo baada ya kusema kuwa kabla ya kuingia kwenye uigizaji hakuwa na marafiki lakini baada ya kuingia katika fani hiyo na kuwa maarufu amekuwa na idadi kubwa ya marafiki.
“Najulikana kwa sasa na naamini ustaa wangu na kazi zangu nilizofanya kwa umaridadi ndio unaonipa marafiki...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuanzisha kundi la marafiki wa Tanganyika

Dalili za suala la mfumo wa Muungano kuliteka Bunge Maalumu la Katiba zimeanza kujionyesha baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Freeman Mbowe kuanza mchakato wa kuanzisha kundi la kutetea kurudi kwa Tanganyika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani