TANGIA RAIS MUGABE AANGUKE IMEKUA SHIIIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V53bZ1XOm6s/VNjKjQbCH_I/AAAAAAADX1w/iSb718FP2D4/s72-c/474555e96ebb43aa7fba3a8f3c8d3a03.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fmgbYtTJHPFri2BgLx3f6h5mU7n8eZpyNud0IZoeEo4PO0faq7nZPQktBDZhn8YKIJyZRWxyMGl4L0FzEJTCK7N/CHEKANAKITIME.jpg)
MARAFIKI WENGINE NI SHIIIDA
Yaani alfajiri ya leo nikiwa bado niko ndotoni naota nina gari la kifahari, nikaamshwa na mtu anagonga mlango, nilimlaani kwa kuwa gari niliyokuwa nayo ilikuwa na kiyoyozi, muziki kwa mbali, harufu ya pafyumu ya gari ikichanganyika na harufu ya pafyumu ya bei mbaya ya mtoto mwenye umbo la ki-Miss niliyekuwa naye kwenye gari vilikuwa vikinifanya nijisikie kama niko Ulaya hivi. Halafu ghafla mtu ananiamsha najikuta gizani,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s72-c/_MG_6315.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s1600/_MG_6315.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_qQH8e8P1E/VRbgPh0cAvI/AAAAAAAHN5g/1Zv8BQkIGFc/s1600/_MG_6291.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjbF-KM_Q-4/VRbVSuxesGI/AAAAAAAC2eM/l86bvXxpXAk/s1600/_MG_6213.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-F7z_LmrlQFo/VNLrYeS2PEI/AAAAAAAAboc/omqevxeBXDg/s72-c/2555C57600000578-0-image-a-14_1423081153187.jpg)
RAIS MUGABE APIGA MUELEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-F7z_LmrlQFo/VNLrYeS2PEI/AAAAAAAAboc/omqevxeBXDg/s1600/2555C57600000578-0-image-a-14_1423081153187.jpg)
Rais Mugabe amekuwa akisafiri kwenda katika nchi za Asia kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake na tiba, hasa ya macho. Anatarajiwa kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa tarehe 21 Februari.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pA5NjS18b6g/VNLrYC4t6OI/AAAAAAAAboM/sjSwxWXF3Yo/s1600/2555C1D700000578-0-image-a-15_1423081838258.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7PH687fkgA/VNLrYVe65wI/AAAAAAAAboQ/JirjuetArcY/s1600/2555C1E100000578-0-image-a-17_1423081861263.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mke wa Rais Mugabe abanwa
MSHINDI wa tuzo ya uandishi nchini Zimbabwe Chenjerai Hove, amemtaka mke wa Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, Grace Mugabe, kurejesha Shahada yake ya Uzamivu (PhD).
10 years ago
Habarileo16 Sep
Dk.Slaa- Demokrasia nchini imekua
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa amesifu demokrasia iliyoko nchini akisema imekua, ingawa alitaka baadhi ya maeneo kutiliwa mkazo.
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Sanaa imekua, tuikuze na kuitunza
Miaka kadhaa wakati vijana wa kizazi kipya wanaingia katika medani hasa ya muziki walijikita katika utamaduni wa Magharibi sana hali iliyokuwa ikipingana na maadili ya utamaduni wetu na kuleta picha nyingine ambayo jamii iliichukulia kama ni uhuni.
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mugabe amteua makamu mpya wa Rais
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amemeteua makamu mpya wa Rais Emmerson Mnangagwa dalili kwamba huyo ndiye Mugabe anampendekeza kumrithi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwIJdYxllBFVzBC-QPYBqYxHQQ0Kn1lG9iFSo7c7LAST9MjHZKH1vVKP3hxP3BwoaELwbP*xMET-Xxw*YMxgEkVT/imrs.php.jpg?width=650)
RAIS MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 LEO
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametimiza miaka 91 leo.
Mugabe amekuwa ni kiongozi mzee kabisa duniani kwa kuwa madarakani kwa miaka 35.
Sherehe ya siku yake ya kuzaliwa inategemewa kufanyika wiki ijayo katika Uwanja wa Golf, Victoria Falls. Sherehe hiyo ambayo itakuwa kubwa na kuhudhuriwa na maelfu ya watu, inaelezwa kugharimu kiasi cha dola milioni… ...
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Rais Mugabe atimua mawaziri wake
Raisi Robert Mugabe wa Zimbabwe, amewafukuza kazi mawaziri wake wawili na manaibu waziri watano hatua ambayo imemkumba pia aliyekuwa makamu wake Joyce Mujuru.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania