RAIS MUGABE APIGA MUELEKA
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe (90) amenaswa na kamera akiwa ameanguka wakati akielekea kwenye gari, muda mfupi tu baada ya kusalimia wananchi waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege akitokea Ethiopia kwenye mkutano wa AU.
Rais Mugabe amekuwa akisafiri kwenda katika nchi za Asia kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake na tiba, hasa ya macho. Anatarajiwa kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa tarehe 21 Februari.Picha wa hisani ya Wavuti
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mke wa Rais Mugabe abanwa
MSHINDI wa tuzo ya uandishi nchini Zimbabwe Chenjerai Hove, amemtaka mke wa Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, Grace Mugabe, kurejesha Shahada yake ya Uzamivu (PhD).
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mugabe amteua makamu mpya wa Rais
10 years ago
GPLRAIS MUGABE ADONDOKA UWANJA WA NDEGE
10 years ago
GPLRAIS MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 LEO
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Rais Mugabe atimua mawaziri wake
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Rais Mugabe ziarani Afrika Kusini
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rais Kikwete apiga kura kijijini kwake
NA PATRICIA KIMELEMETA, CHALINZE
RAIS Jakaya Kikwete jana alipiga kura kijijini kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Rais Kikwete ambaye anamaliza muda wake wa uongozi wa miaka 10 tangu alipoingia madarakani Novemba 2005, aliwasili kijijini hapo katika Kituo cha Zahanati ya Msoga, jana saa 12:25 na kupanga foleni ya kupiga kura kama ilivyo kwa wananchi wengine.
Baada ya kumaliza kupiga kura, alisema amejitokeza kutumia haki yake ya msingi ya kuwapigia kura viongozi wanaotarajiwa...