Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA JOSEPH SHALUWA LOVE TALK YAFANA DAR

Joseph Shaluwa (aliyesimama) akitoa somo kwa marafiki mbalimbali. Marafiki mbalimbali wakiwa wameinua juu vitabu vya mtunzi Joseph Shaluwa.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

MEET THE AUTHOR: Joseph Shaluwa takes us through his literary paths

MEET THE AUTHOR: Joseph Shaluwa takes us through his literary paths  The Citizen Daily

 

11 years ago

GPL

SHALUWA NA SEMINA YA MARAFIKI

Joseph Shaluwa. MTAFITI na mshauri wa maisha, uhusiano na mapenzi Joseph Shaluwa ataendesha semina ya kirafiki aliyoipa jina la Joseph Shaluwa Love Talk yenye lengo la kutoa mada zinazojadili matatizo mbalimbali ndani ya uhusiano na ndoa. Akizungumza na gazeti hili, Shaluwa alisema semina hiyo itafanyika Jumapili, Februari 23, mwaka huu katika Hoteli ya Johannesburg, Sinza – Mori jijini Dar Salaam kwa kiingilio cha...

 

9 years ago

Michuzi

St. Joseph & Forodhani ALUMNI kufanyika Jumamosi hii Septemba 26, 2015 viwanja vya St Joseph Cathedral High School jijini Dar es salaam

Umoja wa wanafunzi waliosoma shule ya St Joseph convent school  ya jijini Dar es salaam iliyodumu kuanzia mwaka 1932 hadi 1969 . Na Forodhani Sekondari  ilyokuwapo kati ya 1970 hadi 2008 ( ilipotaifishwa na serikali) na baada ya hapo St Joseph Cathedral High school 2009 (baada ya kurudishwa kwa kanisa Katoliki)  hadi leo, tumeungana  na kuitwa  St. Joseph & Forodhani  ALUMNI .

St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...

 

10 years ago

TheCitizen

Dar cricketers fail to walk the talk

Tanzania made a wobbly start to the ICC-Africa Under-19 World Cup Qualifiers after losing their opening match to Namibia by 102 runs at the University of Dar es Salaam ground.

 

9 years ago

Michuzi

UMOJA WA WANAFUNZI WALIOSOMA ST.JOSEPH WAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.

WANAFUNZI waliosoma  Shule ya Forodhani na Sasa St.Joseph Cathedral  wameanzisha  umoja wa shule hiyo kwa ajili ya kusaidia elimu pamoja na masuala ya kijamii.


Wakizungumza nyakati tofauti wanafunzi waliosoma hapo wamewataka wanafunzi kufuata nyayo zao kutokana na shule hiyo kuwa na historia nzuri ambayo hadi sasa haijaweza kufutika.


Wamesema kuwa umoja huo utakuwa imara katika kusaidia shule hiyo katika masuala mbalimbali ikiwemo na kusaidia jamii kutokana na...

 

10 years ago

Michuzi

IBADA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR ES SALAAM

 Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali  Pengo, akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu katika   Kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam,  Katikati aliyeshikilia msalaba huo  ni Padri Audax Kaasa wa kanisa hilo.(PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA) Mtoto Benedicta Mushi, ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Masaka English Medium  akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu,  kulia kwa mtoto huyo ni Baba mzazi Philip Mushi Waziri wa Mambo ya Nje na...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA YA MISA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. JOSEPH, DAR

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali  Pengo, akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam jana,  Katikati aliyeshikilia msalaba huo  ni Padri Audax Kaasa wa kanisa hilo. Mtoto Benedicta Mushi, ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Masaka English Medium  akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu,  kulia kwa mtoto huyo ni...

 

10 years ago

Vijimambo

TAFRIJA YA MIAKA 24 YA MUUNGANO WA UJERUMANI YAFANA DAR

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani nchini Tanzania, Egon Kochanke (katikati) na mkewe Wendy Marshall Kochanke wakimkaribisha mfanyabiashara mashuhuli Sir Andy Chande katika tafrija ya kusherehekea Miaka 24 ya Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani, iliyofanyika nyumbani kwa Balozi huyo, Kenyatta Drive Oysterbay jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. PICHA ZOTE/JOHN BADI Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani nchini Tanzania, Egon Kochanke (kulia) naakikaribisha wageni katika tafrija...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani