MBUNGE KESSY ASIPIGWE, AJIBIWE HOJA ZAKE
![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhQrn6TCZPcrHdKvi*7rbVrsyUxXc7WMem66yLN0yDGw3IWgkag2cXW6yqXORrW1RA0AhPmLhZA3Wl9LlQSm0-D/bunge.jpg?width=650)
Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally Kessy akisisitiza jambo. Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally Kessy wiki iliyopita alilazimika kusindikizwa na askari wa Bunge la Jamhuri kuondoka katika viwanja vya eneo hilo kumnusuru na hasira za wajumbe kutoka Zanzibar waliokerwa na mchango wake kuhusu masuala ya Muungano. Kessy alisimama bungeni hapo kutoa mchango wake kuhusu Katiba ya Jamhuri akijikita zaidi katika suala la muundo wa Muungano...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s72-c/kessy24.jpg)
MBUNGE KESSY ASEMA RAIS DK.MAGUFULI, ATAKE ASITAKE LAZIMA AONGEZEWE MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s400/kessy24.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMBUNGE wa Jimbo la Nkasi Ally Kessy(CCM) ameliambia Bunge kuwa kuna kila sababu ya Rais Dk. John Magufuli aongezewe muda wa kuwa Rais huku akisisitiza kuwa Rais atake au asitake lazima aongeze muda.
Amesema yeye(Kessy) amekuwa akipata tabu sana kwani amekuwa akiulizwa na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi kwamba baada ya Magufuli nani anafuata lakini jibu lake analowajibu ni kwamba Rais...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-apnuq13vzlw/VotFOa_2SsI/AAAAAAAAZA8/Hl4PPvbWugc/s72-c/IMG_3315%2B%25281024x683%2529.jpg)
MBUNGE WA AFRIKA MASHARIKI NDELAKINDO KESSY AWAKUMBUKA WATOTO KATIKA KUUANZA MWAKA 2016.
![](http://1.bp.blogspot.com/-apnuq13vzlw/VotFOa_2SsI/AAAAAAAAZA8/Hl4PPvbWugc/s640/IMG_3315%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlxrcBXfib4/VotFUkWdEQI/AAAAAAAAZBU/zd7Dgp9xy28/s640/IMG_3334%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p5oAHWrHyS4/VotFXV3gcBI/AAAAAAAAZBc/JUZOPW3zXuc/s640/IMG_3335%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B9-LDrW5jdM/VotFZUDXQcI/AAAAAAAAZBk/XdbmYJJWWYI/s640/IMG_3336%2B%25281024x683%2529.jpg)
PICHA ZAIDI...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Jaji Warioba aunguruma Mwanza, ataka majibu ya hoja zake
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
HALIMA MDEE: Mbunge, mwanasheria anayesimamia hoja
LEO katika safu yetu ya Mwanamama namzungumzia Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA). Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa mbunge...
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MOROGORO MJINI AZIZ ABOOD AENDELEA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KATIKA KATA MBALIMBALI
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9l26CrgDE0Q/U26En-q46oI/AAAAAAAFgsk/DjNEY_CI0go/s72-c/IMG_8783.jpg)
9 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA NDUGU ZAKE NYUMBANI KWAKE KIJICHI JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA FUONI ZANZIBAR ATIMIZA AHADI ZAKE KWA KITUO CHA AFYA FUONI.