Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE MAVUNDE AKABIDHI VISHKWAMBI VYA SH MILIONI 700 KWA SHULE 10 DODOMA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa Jiji la Dodoma wanatumia teknolojia katika masomo yao, Mbunge wa Jimbo hilo Anthony Mavunde amekabidhi Vishkwambi 700 kwa shule 10 za jiji hilo.

Vishkwambi hivyo vimegaiwa kwa shule za msingi za serikali na binafsi ambapo kishkwambi kimoja kina gharama ya Sh Milioni Moja hivyo vyote jumla vikiwa na gharama ya Sh Milioni 700.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vishkwambi hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe Patrobas Katambi amempongeza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE MAVUNDE AGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 KWA SHULE ZOTE ZA SEKONDARI JIJINI DODOMA.

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde leo amegawa vifaa mbalimbali vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa COVID 19 kwa Shule zote za Sekondari za umma na binafsi zenye kidato cha Sita.

Mavunde amekabidhi leo vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya Tsh 2,000,000 kwa wakuu wa Shule za Sekondari katika eneo la Jiji ya Dodoma ikiwa ni siku ya kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha sita kurejea tena shuleni baada ya agizo la Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kuhusu kufunguliwa tena kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE MAVUNDE ASAIDIA UPATIKANAJI WA VIFAA TIBA 100 KWA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DODOMA

Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuhakikisha anatekeleza azma ya Rais Magufuli ya kuwahudumia wananchi wanyonge, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amezindua rasmi kambi ya upimaji wa tiba saidizi vya miguu ya bandia kwa watu wenye ulemavu.

Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na huduma hiyo itakua ikitolewa kwa wananchi wote kutoka sehemu mbalimbali za Mkoa wa Dodoma na maeneo jirani.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe Mavunde amesema vifaa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AZINDUA SHULE YA MSINGI 'MAVUNDE' JIJINI DODOMA


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imesema mwisho wa wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kwenda shule katika kata ya Nala jijini Dodoma ni mwaka huu kwani kuanzia mwakani hakutakua na changamoto ya madarasani katika shule ya msingi kwenye kata hiyo.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mhe Selemani Jafo wakati akizindua shule shikizi ya msingi ya Chiwondo iliyopo katika Jiji la Dodoma.

Shule hiyo imejengwa kwa msaada wa Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Mhe Anthony...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE NA NYUMBA YA MATUMAINI DODOMA


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli aakiongea baada ya kukikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Nyumba ya Matumaini wakati wa hafla fupi ya kukabidhi misaada kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Alhamisi Machi 19, 2020
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Cheshire Home wakati wa hafla fupi ya kukabidhi...

 

5 years ago

CCM Blog

MAJALIWA: SH. MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili katika kijiji cha Chikwale wilayani Ruangwa kuzungumza na wananchi, Juni 22, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Ruangwa, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa sh. milioni 700 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana.

Amesema Serikali inataka mtoto wa kike asome kuanzia darasa la...

 

5 years ago

Michuzi

MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA-MAJALIWA

Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa jukwaa kuu katika uwanja wa michezo wa Kassim Majaliwa Juni 21, 2020. Kulia ni Mkuu wa wilaya hiyo, Hashim Mgandilwa.


Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa , Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembea katika mitaa ya Ruangwa Juni 21, 2020. Wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassim Mgandilwa.



Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi...

 

5 years ago

Michuzi

NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR

BENKI ya NMB, imekabidhi msaada wa viti, meza na madawati vyote vikiwa na thamani ya Sh. Milioni 15 kwa ajili ya Shule za Sekondari Kibamba na Kinzudi na Shule ya Msingi Makuburi Jeshini, zilizoko wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam.
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE HOME NA NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DODOMA

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli ametoa wito kwa taasisi mbalimbali, mashirika, wafanyabiashara na watu wenye mapenzi mema kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji maalumu kwani kwa kufanya hivyo ni kutimiza amri kuu ya upendo ya Mwenyezi Mungu isemayo pendaneni kama mimi nilivyowapenda ninyi. 
 Mama magufuli ameyasema hayo wakati akitoa misaada mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya Cheshire Home na Nyumba ya Matumaini katika hafla...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI KAMILI YA MILIONI 700 ILIVYONASWA HOTELINI DODOMA

Mtu mmoja amekamatwa mkoani dodoma na maburungutu ya fedha hotelini, inasemekana alikuwa na lengo la kuwahonga wajumbe wampitishe mmoja wa gombea uteuzi..nani kamtuma?
Ilikuwa kama sinema wakati mabegi matatu yaliyokuwa yamesheni mamilioni ya fedha yalipokamatwa katika hoteli ya St. Gaspar mjini hapa, fedha zinazodaiwa kuwa zimetolewa na Mfanyabiashara Yusufu Manji, kwa nia ya kuhonga wajumbe wa vikao vya maamuzi vya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fedha hizo zilikamatwa jana katika hoteli hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani