MBUNGE WA JIMBO LA FUONI ZANZIBAR MHE. ABAAS MWINYI
Mbunge wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe A bass Ali Hassan Mwinyi, akitembelea Kituo cha Afya cha Fuoni Zanzibar kinachotowa huduma kwa Wananchi wa Jimbo hilo na jirani wakati akitimiza ahadi yake kwa kutuo hicha, akipata maelezo kutokwa kwa mdhamini wa kituo hicho Muuguzi wa Afya ya Jamii Bi Mwaka Pandu Makame akitowa maelezo ya eneo lao la kuchomea taka za kituo hicho.
Mbunge wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe Abass Ali Hassan Mwinyi akitembelea kituo hicho cha Afya Fuoni Zanzibar akiwa katika...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe Abaas Mwinyi Atimiza Ahadi Zake kwa Kituo cha Afya Fuoni kwa Kukabidhi Dawa na Masinki ya Vyoo kwa Kituo Hicho.
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA FUONI ZANZIBAR ATIMIZA AHADI ZAKE KWA KITUO CHA AFYA FUONI.
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
Dewji Blog15 May
Tamko la Mhe. Nyalandu kuhusu shutuma za Mbunge Mhe. Nassari
Waziri wa Mali asili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
“Nimesikitishwa sana na kauli ya Mhe. Joshua Nassari ambayo ameongea kwa kudhalilisha utendaji wangu serikalini.
Naomba Mh. Nassari afahamu kuwa kunikashifu pasipo kueleza masuala ya kisera au ya kiutendaji ni kupungukiwa na busara ya kawaida kwa kiongozi aliyepaswa kuwawakilisha wapiga kura wake kwa hoja. Itakumbukwa kuwa hivi karibuni Mhe. Nassari aliniita Jimboni kwake Arumeru Mashariki akiniomba nitatue tatizo lililohusu...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA JIMBO LAKE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q_bdzhEEess/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s72-c/IMG-20150629-WA0023.jpg)
Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s640/IMG-20150629-WA0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-ZjtBCePtU/VZIn-k8ZFlI/AAAAAAAAAQ4/3G0CBsckKqE/s640/IMG-20150629-WA0022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-96NBLMdE52Q/VZIn9hKjxlI/AAAAAAAAAQ8/X1_08v68uh8/s640/IMG-20150629-WA0020.jpg)
BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi27 Aug
MHE. LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA MHE. ARNELL MILLS, MEYA WA MJI WA HELENA-WEST HELENA KUTOKA JIMBO LA ARKANSAS MAREKANI
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10625087_10152346818807479_1515226333222891814_n.jpg?oh=64308ad3833592428ccea305c347413f&oe=546C43DD&__gda__=1415738928_768e96f0585df4ee1670685235cc23b0)
Mhe. Meya Wills akipokelewa na Bw.Suleiman Saleh, Afisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Washington DC mara baada ya kuwasili Ubalozini hapo kwa mazungumzo na Mhe. Balozi Liberata Mulamula
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/10485513_10152346818812479_8827848353377217115_o.jpg)
Mhe. Liberata Mulamula,Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani akiwa katika mazungumzo na Mhe.Arnell Wills, Meya wa mji wa Helena-West Helena, Arkansas, Marekani,Ubalozini Tanzania House, Washington DC.
![](https://scontent-a-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/l/t31.0-8/10496926_10152346818817479_4810686442739465277_o.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t31.0-8/1912114_10152346818802479_7164735362486305738_o.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 May
Mahojiano na Mhe Alhaj Ali Hassan Mwinyi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10