Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchakato Shirikisho EAC kuanza 2024

MCHAKATO wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki, unaweza kuanza mwaka 2024, Ofisa mmoja wa Kenya amesema. Mkurugenzi Msaidizi Mwandamizi wa Masuala ya Siasa, Judy Njeri, akizungumza na waandishi wa habari, Nairobi, Kenya alisema mazungumzo juu shirikisho yataanza baada ya utekelezaji kamili wa Umoja wa Fedha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mchakato wa urais Chadema kuanza Julai 20

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman MboweCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza tarehe za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kuchukua na kurejesha fomu, ambapo kwa nafasi ya Rais, zitatolewa Julai 20 na kurejeshwa Julai 25.

 

11 years ago

Michuzi

MCHAKATO WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUANZA MWEZI UJAO

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO  MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO. MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA  VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT   MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Wasira awahimiza wawekezaji kuharakisha mchakato wa kuanza kuunganishwa matrekta hapa nchini

Na Issa Sabuni, WKCU Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya muhimu katika kuhakikisha Tanzania inaongeza tija na uzalishaji katika kilimo lakini pia inapunguza matumizi ya jembe la mkono. Waziri Wasira alipongeza hatua hiyo, mara baada ya kukutana na...

 

11 years ago

GPL

MCHAKATO WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 SASA KUANZA MWEZI UJAO !‏


KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM. MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO  MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO. MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA  VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT  … ...

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge la EAC kuanza kesho Dar

Bunge

Bunge

NA SHABANI MATUTU

BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.

“Ripoti hizo ni Kamati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Treni za mizigo kuanza kazi kwa nchi za EAC

Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wiki ijayo wanatarajia kuzindua treni ya mizigo ‘block train’ kutoka jijini hapa kwenda nchi wanachama kwa kutumia reli ya kati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuandaa olimpiki na Paralympic 2024

Kamati ya olimpiki nchini Marekani inafanya jitihada za kuandaa michezo Olimpiki na ya mwaka 2024.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wagombea wa michezo ya Olimpiki 2024 watangazwa

Wanaogombea wa kuandaa mashindano ya michezo ya Olimpiki mwaka 2024 wametangazwa.

 

5 years ago

Aljazeera.Com

Earthbound: Coronavirus dents NASA's 2024 return to moon

Earthbound: Coronavirus dents NASA's 2024 return to moon  Aljazeera.comNASA shuts down 2 more rocket facilities after engineer tests positive for Covid-19, in 'major setback' to 2024 Moon flight hopes  RTNASA delays work on Moon rocket during virus pandemic  BBC NewsSpaceX, NASA aim for historic crew launch in mid-May despite coronavirus outbreak  Space.comSpace to Ground: In Times of Adversity: 03/20/2020  NASA JohnsonView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani