MCHUMIA JUANI

Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Mafuta ya kula yaliyo juani sumu
WANANCHI wametakiwa kuacha kununua mafuta ya kula, yanayouzwa yakiwa yamewekwa juani, kutokana na kuwa na athari kubwa kiafya, ikiwemo kusababisha ugonjwa wa saratani. Mkaguzi wa Chakula kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati, Albert Deule alisema hayo juzi wakati akijibu maswali ya washiriki wa mafunzo kwa wajasiriamali wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Saudi Arabia yakataza vibarua juani
Saudi Arabia yabadilisha sheria kukataza vibarua kufanya kazi katika jua kali
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Saa 12 kila siku juani na bango la Lowassa
Kwa waliowahi kupita barabara inayotoka Buguruni kuelekea Tazara jijini Dar es Salaam, bila shaka wameshamuona mkereketwa wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Shaibu Masaula (46) akiwa ameshikilia bango lenye picha ya mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Duni Haji huku akirukaruka muda wote.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania