Mdau Kheri Abdul Mahimbali alamba nondozzz yake ya MSc in Oil and Gas Enterprise Management
Mdau Kheri A. Mahimbali akiwa na mzee wake Abdul Ahmed Dau (kushoto) na mtoto wa simba Ahmed Dau baada ya kula nondoz ya MSc in Oil and Gas Enterprise Management. Mdau Kheri A. Mahimbali akiwa na professor wake Professor David MacDonald mtaalam wa mas-ala ya Geology. Wadau kutoka kushoto bwana Haruna Mbeyu "Meya wa London" akiwa na Al-watan wa Leicester bwana Abdul Dau akifuatiwa na graduate bwana Kheri Mahimbali na wa mwisho bwana Ahmed Dau "mtoto wa simba" wakiwa uwanja wa ndege wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMdau Nzumbe Nyanduga alamba Nondozzz yake ya nternational Master (MA) in Management, Law and Humanities in Sports nchini Uswiss
10 years ago
MichuziMdau Saida Yunus Chui alamba nondozzz
10 years ago
MichuziMDAU NGULI CHIEF MKWAWA ALAMBA NONDOZZZ INGINE YA UZAMILI KUTOKA CHUO KIKUU HURIA
10 years ago
MichuziThe Journey of 10 BG Tanzania Scholars who will join University of Aberdeen and Robert Gordon University in UK to pursue their MSc Degree studies in Oil and Gas
The British Council conducted a pre-departure briefing on 15 August, 2014 as part of preparation for their studies in UK to 10 BG Tanzania Scholars who won the award to study Master’s degree in oil...
10 years ago
MichuziMpiganaji Godfrey Monyo wa ITV na RadioOne alamba Nondozzz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar
11 years ago
TheCitizen17 Jan
EAC partner states advised to design fiscal policies for oil, gas management
10 years ago
MichuziMdau Zainab Mwinyijuma alamba nondozz yake
10 years ago
MichuziMdau Khamis Mkotya alamba nondozz yake
Mkotya pamoja na wahitimu wengine walitunukiwa shahada zao mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali ya 26 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika eneo la Bungo, Kibaha mkoani Pwani.
Wahitimu wote walitunukiwa shahada zao na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha...