Meno 156 ya tembo yakamatwa Dar
Polisi jijini Dar es Salaam imekamata vipande 156 vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 211.66 vikiwa vimetandazwa kwenye nyumba moja wilayani Temeke.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Polisi Dar Wakamata Meno ya Tembo 156, Bunduki mbili
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionesha baadhi ya vipande vya bunduki zilizokamatwa aina ya ‘RIFLE’ katika oparesheniiliyofanyika jana Temeke Sudan, Dar.Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.… Kova akivishikilia vipinde hivyo.… Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno ya Tembo.Wanahabari wakichukua tukio hilo.Kamishna wa polisi, Suleiman Kova (kushoto) akiongea na wanahabari.Baadhi ya...
11 years ago
Habarileo12 Jan
Meno zaidi ya tembo yakamatwa
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa, usiku wa kuamkia jana lilikamata meno matano ya tembo ambayo thamani yake haikuweza kujulikana mara moja kutoka kwa wafanyabiashara watatu wakazi wa Mbezi, Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo15 Feb
Meno ya tembo yakamatwa Mtwara
JESHI la Polisi wilayani hapa, limekamata nyara za Serikali ikiwa ni meno ya tembo 58 yenye uzito wa kilo 130.6 na watuhumiwa watatu ambao walikuwa wanayasafirisha kutoka hapa kwenda Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Meno ya tembo 81 yakamatwa Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Meno ya tembo 495 yakamatwa nchini
JUMLA ya meno ya tembo 495 yamekamatwa kwenye maeneo mbalimbali nchini katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu. Aidha watuhumiwa wa ujangili 544 wamefunguliwa mashitaka kwenye...
11 years ago
Michuzi02 Apr
MAJANGILI 6 YAKAMATWA NA MENO YA TEMBO 53 YENYE JUMLA YA KILO 169.7
Na Pamela Mollel,Arusha Wizara ya maliasili na utalii imetangaza kukamatwa kwa meno 53 ya tembo yenye jumla ya...
10 years ago
Vijimambo05 Aug
Meno ya Tembo yakamatwa Zurich yakitokea Tanzania kwenda China
Confiscated Ivory displayed at Zurich Airport in Kloten on Tuesday, Aug. 4 , 2015. Swiss authorities say customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania. Switzerland's customs authority said Tuesday that the ivory — found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases — had an estimated black market value of about 400,000 francs (US $413,000). (Walter Bieri/Keystone via AP)
BERLIN (AP) —...
11 years ago
GPLWATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
MichuziWATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO