MeTL GROUP YAPATA MKOPO WA BILIONI 300/- KUTOKA RMB
Ofisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (Mb) (wa pili kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Rand Merchant Bank (RMB), Bw. Bruce Macfarlane (wa pili kulia) wakitiliana saini ya mkopo huo wa bilioni 300 za kitanzania. Kushoto ni Makamu wa Rais wa MeTL GROUP, Vipul Kakad na kulia ni Gregory Havermahl wa RMB wakishuhudia tukio hilo la utiliaji saini wa mkopo baina ya RMB na MeTL Group.
Afisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (Mb) na Mkurugenzi Mtendaji wa Rand Merchant...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/speech.jpg)
MeTL GROUP YAPATA MKOPO WA BILIONI 300/- KUTOKA RMB
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Star Oils kampuni dada ya MeTL GROUP yapata mkopo wa bilioni 100 kutoka NBC
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
.MetTL yajipanga kupanua soko lake la mafuta Afrika Mashariki na Kusini
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya Mohammed Enterpries Tanzania Limited (MeTL GROUP) kupitia kampuni yake dada ya kuingiza, kuhifadhi na kusambaza mafuta nchini ya Star Oils Ltd. imepata mkopo wa bilioni 100 kutoka kwa...
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
FURSA za ajira kutoka MeTL GROUP
Advocates vacancy Internet.pdf by moblog
Jnr Sales – Swahili.pdf by moblog
Snr Sales.pdf by moblog
Technical Psns.pdf by moblog
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/vacancies1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Wilaya ya Same na Mwanga yapata kiasi cha shilingi bilioni 56.10 kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait wakisubiri kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kulia kwake ni Bw. Abdulwahab A. Al- Bader ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0geuo0JyMb4/VXs3hPzFcwI/AAAAAAAHfHo/3fPBGrq8s9U/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
JOB OPPORTUNITIES: MeTL Group We’re looking for a Graphic Designer !
Are you creative? We’re looking for a Graphic Designer to add to our team! Minimum 2 years of experience OR equivalent portfolio. Must be proficient with the Adobe Suite. Email your PORTFOLIO to sakina@metl.net
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
METL Group eyes Africa expansion as middle class grows
CEO of MeTL GROUP, Mohammed Dewji.
By Fumbuka Ng’wanakilala
DAR ES SALAAM (Reuters) – Manufacturing and trading firm Mohammed Enterprises Tanzania Ltd, one of the country’s biggest private employers, said on Friday it would invest $250 million to expand its business in Africa to capitalise on a growing middle class demand.
Chief Executive Officer Mohammed Dewji also told Reuters he was upbeat about prospects in Tanzania, whose economy has been growing at about 7 percent a year and which he...