Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MeTL GROUP YAPATA MKOPO WA BILIONI 300/- KUTOKA RMB

signing dealOfisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (Mb) (wa pili kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Rand Merchant Bank (RMB), Bw. Bruce Macfarlane (wa pili kulia) wakitiliana saini ya mkopo huo wa bilioni 300 za kitanzania. Kushoto ni Makamu wa Rais wa MeTL GROUP, Vipul Kakad na kulia ni Gregory Havermahl wa RMB wakishuhudia tukio hilo la utiliaji saini wa mkopo baina ya RMB na MeTL Group.
ToastAfisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (Mb) na Mkurugenzi Mtendaji wa Rand Merchant...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MeTL GROUP YAPATA MKOPO WA BILIONI 300/- KUTOKA RMB‏

Afisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (MB) akisoma risala yake kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa Bilioni 300 za kitanzania kutoka Benki ya Rand Merchant ya Afrika Kusini (RMB) iliyofanyika kwenye hoteli ya Saxon jijini Johannesburg Afrika Kusini. Ofisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (Mb) (wa pili kushoto)… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Star Oils kampuni dada ya MeTL GROUP yapata mkopo wa bilioni 100 kutoka NBC

DSC_0098

Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.

.MetTL yajipanga kupanua soko lake la mafuta Afrika Mashariki na Kusini

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Mohammed Enterpries Tanzania Limited (MeTL GROUP) kupitia kampuni yake dada ya kuingiza, kuhifadhi na kusambaza mafuta nchini ya Star Oils Ltd. imepata mkopo wa bilioni 100 kutoka kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

FURSA za ajira kutoka MeTL GROUP

vacancies1

Advocates vacancy Internet.pdf by moblog

Jnr Sales – Swahili.pdf by moblog

Snr Sales.pdf by moblog

Technical Psns.pdf by moblog

 

10 years ago

GPL

FURSA ZA AJIRA KUTOKA MeTL GROUP‏

Advocates vacancy Internet.pdf by moblog…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wilaya ya Same na Mwanga yapata kiasi cha shilingi bilioni 56.10 kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait

DSCI0175

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait wakisubiri kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kulia kwake ni Bw. Abdulwahab A. Al- Bader ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED

Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dr. Servacius Likwelile pamoja na Msajili wa Hazina, Nd. Lawrence Mafuru wakipokea hundi ya mfano ya shilingi Bilioni 3 kutoka Kampuni ya Puma Energy Tanzania Limited iliyokabidhiwa na Mkuu wa Puma Energy Tanzania Limited, Nd. Philippe Corsaletti. Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya Salum akiwashukuru watendaji wakuu wa Puma Energy Tanzania Limited kwa kuwasilisha kwa Serikali gawio la faida la...

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Dewji Blog

JOB OPPORTUNITIES: MeTL Group We’re looking for a Graphic Designer !

metl

Are you creative? We’re looking for a Graphic Designer to add to our team! Minimum 2 years of experience OR equivalent portfolio. Must be proficient with the Adobe Suite. Email your PORTFOLIO to sakina@metl.net

 

10 years ago

Dewji Blog

METL Group eyes Africa expansion as middle class grows

DSC_0317-1024x6822

CEO of MeTL GROUP, Mohammed Dewji.

By Fumbuka Ng’wanakilala

DAR ES SALAAM (Reuters) – Manufacturing and trading firm Mohammed Enterprises Tanzania Ltd, one of the country’s biggest private employers, said on Friday it would invest $250 million to expand its business in Africa to capitalise on a growing middle class demand.

Chief Executive Officer Mohammed Dewji also told Reuters he was upbeat about prospects in Tanzania, whose economy has been growing at about 7 percent a year and which he...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani