Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya ataka wasio na shughuli mijini kurejea vijijini

DSC00807

Mstahiki Meya wa Nanispaa ya Singida, Sheikh Salum Mohammed Mahami ,akizungumza kwenya hafla ya uzinduzi wa shirika la TUSIFO. Hafla hiyo imefanykia katika shule ya msingi Kibaoni na Sheikh Mahami, alitumia fursa hiyo kuwasihi wakazi ambao hawana shughuli za kufanya mjini,warejee/waende vijijini kwa madai kuwa kwa sasa mazingira ya mjini, sio rafiki kwao tena. Kushoto ni mkurugenzi wa shirika la TUSIFO, Costantino Charles.

Na Nathaniel Limu, Singida

MSTAHIKI meya wa manispaa ya Singida,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK ataka busara ujenzi vituo vya afya mijini

Anna Makange,Tanga RAIS Jakaya Kikwete ameutaka uongozi wa halmashauri ya jiji la Tanga kuweka mpango bora wa ujenzi wa vituo vya afya kwa kuziunganisha kata huku wakizingatia idadi ya watu waliopo kwenye eneo husika.

 

5 years ago

Michuzi

CRDB YADHAMIRIA KUINUA HALI ZA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA MIJINI NA VIJIJINI KWA KUIBUA MIRADI MBALI MBALI

Uongozi wa Benki ya CRDB Nchini umeazimia kuunga mkono Utekelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo inayowagusa moja kwa Moja Wananchi kwa kushirikiana na Serikali katika kuona ustawi wa Jamii Mjini na Vijijini unaimarika kila siku.

Akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Vuga Mjini Zanzibar Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ya CRDB Bwana Abdulmajid Mussa Nsekela  amesema Benki hiyo iliyopata Tuzo ya Mfuko wa Kimataifa wa Mazingira itadhihirisha Utekelezaji...

 

9 years ago

Michuzi

WANASIASA WADAIWA KUKWAMISHA SHUGHULI ZA URAGHABISHI WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI

Mchungaji wa kanisa la Umoja wa Makanisa ya Ubatizo Lucas Machibya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani ) kuhusu baadhi ya shughuli za uraghabishi katika kijiji cha Pandagichiza. Baadhi ya waraghabishi wa kijiji cha Pandagichiza wakiwa na waandishi wa habari za mtandaoni katika moja ya jengo la jiko la shule ya msingi Pandagichiza ambalo limetoakana na juhudi zao za uraghabishi 
Na Krantz Mwantepele ,Shinyanga 
Si mara nyingi viongozi wa kidini hujihusisha moja kwa moja na...

 

10 years ago

Habarileo

Spika ataka wabunge kurejea mjengoni

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amevitaka vyama vya siasa kuhakikisha vinawarudisha bungeni wabunge wao, tayari kusikiliza majibu ya serikali katika hoja walizotoa katika Bajeti.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA WAZAZI KUCHAGUA WATU WENYE SHUGHULI ZAO KUWA WAJUMBE WA KAMATI ZA SHULE


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwapungia mkono wakazi wa Bagamoyo wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa shule ya Msingi Jitegemee.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa mkono wa pongezi mshahiri maarufu wa CCM mkoa wa Pwani Ndugu Ali Pongwe baada ya kutoa ushairi mzuri kabla ya kuanza kwa mkutano.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Magomeni wilaya ya Bagamoyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini ataka wananchi wa vijijini wasaidiwe kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi

IMG_4025

Mratibu  wa  mradi  wa  kudhibiti  wanyama  wakali  kwa kutumia   waya  na   mitii  maalumu  inayohimili  ukame  unaofadhiliwa na UNDP  Dr. Maurus  Msuha akitoa maelezo kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) alipotembelea miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika la UNDP  wilayani Longido  mkoani  Arusha  katika  ziara  yake  ya  siku mbili mara baada ya kuwasili wilayani humo....

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi cheti cha Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la Afrika Kundi la Majiji ya Kati (Medium Size Cities) kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda katika hafla iliyo zilizotolewa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (UCLGA), Dar es Salaam jana.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi Tuzo ya Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya Meya Bora Tanzania kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kushinda tuzo hiyo kitaifa iliyoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri.Rais Jakaya Kikwete akizungumza baada ya kukabidhi Tuzo ya Meya Bora Tanzania, Yusuph Mwenda (kulia) baada ya kushinda tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani