Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAPATA WANACHAMA WAPYA WA KUNDI LA WASANII WA FILAMU.

Meneja masoko na huduma kwa wateja wa GEPF, Bw. Aloyce Ntukanazima akimkabidhi kadi msanii nguli wa filamu mzee Chilo.
Issa Musa ,'Cloud' akipokea kadi yake ya uanachama kutoka kwa Meneja masoko na huduma kwa wateja wa GEPF.
...Fatuma Makongoro, 'Bi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAAFISA UTUMISHI KUTOKA MIKOA YA LINDI NA MTWARA WAPATA ELIMU JUU YA MAENDELEO YA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,Mh. Halima Dendegu akifungua rasmi semina maalum kwa Maafisa Utumishi kutoka Mikoa ya Lindi la Mtwara Juu ya Maendeleo ya Mfuko wa Pensheni wa GEPF,uliofanyika Mkoani Mtwara.Katika hotuba yake ya Ufunguzi,Mh. Dendegu ameupongeza na kuushukuru uongozi wa Mfuko wa GEPF kwa kuifikisha elimu hiyo katika mikoa hiyo ya kusini. Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF,Bw. Aloyce Ntukamazina akiwasilisha mada juu ya maendeleo ya Mfuko wa GEPF, mafao mapya yatolewayo ...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED WAZINDUA MPANGO WA KUWAKOPESHA VIWANJA WANACHAMA WA MFUKO HUO

 WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia sSuluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane kulia), wakiwa wamekamata mwamvuli ikiwa ni ishara ya umoja, kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAENDELEA NA ZOEZI LA KUTOA ELIMU KWA WADAU WA MIKOA YA DODOMA NA SINGIDA

Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Bw. Aloyce Ntukamazina (kushoto) akimkabidhi rasmi kadi ya uanachama, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Mh. Chiku Gallawa mara tu baada ya kujiunga na Mfuko huo akionyesha ni jinsi gani Mfuko umejipanga vyema kuwahudumia wanachama wake kwa wakati. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh Chiku Galawa akijaza fomu na kujiunga rasmi na Mpango wa hiari wa kujiwekea akiba ulianzishwa na GEPF (VSRS) akishuhudiwa na meneja wa GEPF mkoa wa Dodoma Bw Josephat Mshana.Meneja Masoko...

 

11 years ago

Michuzi

WASANII WA BONGO MOVIE WAJIUNGA NA MFUKO WA GEPF

Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa GEPF kwaajili ya kujiwekea akiba,Msanii mkongwe katika bongo movie mzee Chilo mara baada ya tafrija ya ftati iliyoandaliwa maalum kwa wasanii hao.Msanii Jacky Pentezel akipokea kadi ya uanachama baada ya kujiunga na Mfuko wa GEPF kutoka kwa Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina.Msaanii maarufu katika tasnia ya filamu,Blandina Chagula a.k.a Johari...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA KITUO CHA WATOTO YATIMA NA WASIO NA MAKAZI MAALUM (CHAKUWAMA) KILICHOPO SINZA

Meneja Masoko wa Mfuko wa GEPF,Bw Aloyce Ntukamazina (shati draft) akimkabidhi Katibu Mtendaji wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha Chakuwama,Bw. Hassan Hamisi msaada wa mahitaji mbali mbali ya chakula kwaaajili ya watoto wa kituo hicho.katikati ni Afisa Masoko Msaidizi wa Mfuko wa GEPF,Bw. Adam Hamza.Katibu Mtendaji wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha Chakuwama,Bw. Hassan Hamisi akipokea moja ya ‘pampers’ maalum kwaajili ya watoto wachanga kutoka kwa Afisa Mafao Mwandamizi wa Mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA TUICO TAWI LA MUWSA ,WAPATA VIONGOZI WAPYA

Viongozi na wananchma wa Chama cha Wafanyakazi TUICO tawi la MUWSA wakiimba wimbo wa Solidarity.Viongozi wapya wa Chama cha Wafanyakazi (TUICO) tawi la MUWSA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuchaguliwa kuongoza tawi hilo kwa kipindi cha miaka mitano. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Mwananchi

Mfuko wa PSPF wajizatiti kuongeza wanachama wapya

Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatarajia kupata wanachama wapya 400,000 nchi nzima ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wamalizika leo jijini Arusha

Mgeni Rasmi katika ufungaji wa Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mh. Jowika Kasunga akitoa hotuba yake ya kufunga Mkutano huo uliomalizima leo kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,Jijini Arusha.Picha zote na Othman Michuzi.Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PPF,Alhaj Ramadhan Khijja azungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufunga Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waendelea leo jijini Arusha

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio akijibu sehemu ya maswali yaliyouliwa na Wanachana na Wadau wa PPF kwenye Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa PPF,unaofanyika leo kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,Jijini Arusha.Picha Zote na Othman Michuzi,Arusha.Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii (SSRA),Juma Ally Muhimbi akichangia mada kwenye Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa PPF,unaofanyika leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani