Mgombea urais wa DMV Ndg. Liberatus Mwang’ombe alivyotembelea hospitali Tanzania
Liberatus believes “CHARITY STARTS AT HOME”
Katika muendelezo wa kusaidia nyumbani kama imani yangu ya kimsingi; ninaamini kuwa, “binadamu tulizaliwa tushirikiane na tusaidiane kutatua matatizo na sio kutengana wala kushindana.”
Mgombea wa Uraisi wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bw. Liberatus Mwago’mbe wakwanza (kusoto) akiwa na Dr. Kingslaw (katikati) na Nurse kabla ya lecture katika hospitali ya Muhimbili
Kwenye safari yangu ya Tanzania 2011 na 2013 nilipata fursa ya kutembelea hospital za...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Mahojiano na mgombea urais wa jumuia DMV, Liberatus Mwang'ombe

11 years ago
MichuziMazungumzo na Liberatus Mwang'ombe na Solomon Chris baada ya Uchaguzi DMV
10 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: MBOWE: LIBERATUS MWANG'OMBE NDIYE MGOMBEA WA UBUNGE MBARALI KUPITIA UKAWA
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto...
9 years ago
CHADEMA BlogMGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI KUPITIA CHADEMA NDUGU LIBERATUS MWANG'OMBE ATOA SHUKRANI
10 years ago
CHADEMA Blog
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Sera za Libetatus Mwang’ombe mgombea wa jumuiya ya watanzania DMV
Jumuiya na mrejesho wa ubalozi, “Power of attorney” ,Mkutano huo utafanyika Siku ya Jumamosi, June 28, 2014
kuanzia saa 10 Alasiri (4pm)Meadowbrook Park
7901...
10 years ago
Vijimambo
Liberatus Mwang'ombe aongelea changamoto za Mbarali na Mwananchi LTD
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga sheria Tanzania. Msaada wa fedha anaomba utumwe kupitia;
M-PESA- WAVE App number +255 752 494 409
Au, wasiliana na: Rehema Sarmet 301 367 9711Lukresia 240 593 5973Jabil 240 604 0574
9 years ago
MichuziMahojiano na Liberatus Mwang'ombe katika kipindi cha JUKWAA LANGU
11 years ago
Michuzi
Mjadala na Hussein Kauzela, Shamis Khatry, Liberatus Mwang'ombe na Solomon Christopher

Karibu katika mjadala na Hussein Kauzela, Shamis Khatry, Liberatus Mwang'ombe na Solomon Christopher uliojikita zaidi katika mwenendo wa kusaka katiba mpya nchini Tanzania. Huu ni mfululizo wa mazungumzo na watu mbalimbali kuhusu suala hili muhimu kwa mustakabali wa nchi ya Tanzania. Karibu Kwa maoni, tafadhali wasiliana nasi kwa barua pepe kwanzaproduction at gmail dot com