Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MH. AMOS MAKALLA AFIWA NA BABAYAKE MZAZI

                      Marehemu Gabriel Makalla
Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla anasikitika kutangaza kifo cha babake mzazi, Gabriel Makalla kilichotokea usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa waziri Palm Residence Ocean Road namba 18E Dar es Salaam, Mwili utaagwa Jumapili katika Kanisa la Azania Front saa 6 mchana.


Baada ya hapo mwili utasafirishwa kwenda Mvomero kwa mazishi yatakayofanyika Jumatatu saa 7...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AMOS MAKALLA AFIWA NA BABAYAKE MZAZI

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla. Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla anasikitika kutangaza kifo cha babake mzazi, Gabriel Makalla kilichotokea usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa waziri Palm Residence Ocean Road namba 18E Dar es Salaam, Mwili utaagwa Jumapili katika Kanisa la Azania Front saa 6 mchana. Baada ya hapo mwili utasafirishwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Amos Makalla afiwa na Baba yake mzazi

Marehemu Gabriel Makalla.

Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla anasikitika kutangaza kifo cha babake mzazi, Gabriel Makalla kilichotokea usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa waziri Palm Residence Ocean Road namba 18E Dar es Salaam, Mwili utaagwa Jumapili katika Kanisa la Azania Front saa 6 mchana.

Baada ya hapo mwili utasafirishwa kwenda Mvomero kwa mazishi yatakayofanyika Jumatatu saa 7 mchana.

Mungu...

 

10 years ago

Mtanzania

Amos Makalla azidi kuiimarika jimboni

Amos MakallaNa Ramadhan Libenanga, Mvomero
MBUNGE wa Mvomero, Amos Makalla, amezidi kuimarika katika siasa jimboni kwake baada ya kuvunja ngome ya Ukawa kwa wanachama 53 wa vyama vya CUF na Chadema kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo lilitokea juzi katika mkutabno wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Madizini, ambako alisema yeye ni mbunge wa vitendo na si wa maneno kama walivyo watu wengine.
Makalla ambaye pia Naibu Waziri wa Maji, alisema katika kipindi alichopewa ridhaa na wapiga kura...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe Amos Makalla ahudhuria mafunzo ya uongozi Marekani


Naibu Waziri wa Maji na Mbunge wa Mvomero Mhe. Amos Makalla akiwa na baadhi ya washiriki aw mafunzo ya uongozi chuo cha uongozi cha Leadership institute, Arlington,VirginiaMhe Makalla ashiriki mafunzo ya uongozi na Chou cha leadership Institute, Arlington,Virginia

 

9 years ago

Michuzi

Mhe. Amos Makalla AAGA RASMI WIZARA YA MAJI

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla leo mchana ameaga rasmi watumishi wa Wizara ya Maji na kwenda kuanza majukumu mapya kama Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Mhe. Makalla ambaye alifika Wizarani hapo, akitokea Ikulu alikoapishwa rasmi na Mhe. Rais, Jakaya Mrisho Kikwete, mara baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Mhe. Makalla ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Maji kwa zaidi ya mwaka mmoja, aliweza kufanya kazi kwa weledi mkubwa licha kuwa mgeni kwenye Sekta hiyo, ambapo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tido afiwa na mama yake mzazi

Mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando, Jessie (85), amefariki dunia jana asubuhi Chang’ombe Dar es Salaam kwa ugonjwa wa moyo.

 

9 years ago

Michuzi

ZIARA YA NAIBU WAZIRI MAJI AMOS MAKALLA MJINI GEITA

NAIBU waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi  unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita, Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya upatikanaji maji kutoka asilimia 13 iliopo sasa hadi  kufikia asilimia 57.
Kwa mujibu wa tathmini ya kazi iliyofanyika mradi huu unatarajiwa kukamilika  mwishoni mwa mwezi august mwaka huu na naibu waziri wa maji ameagiza...

 

11 years ago

Michuzi

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA MKOANI MOROGORO

 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ( wa kwanza kulia ) akisikiliza jambo kutoka kwa Mtaalamu wa  mradi wa Millennium Challenge Account (MCT), Sean Osullisan   wakati  alipotembelea  machujio ya kusafisha na kutibu maji eneo la Mafiga , kwenye  miradi ya maji ya  Mamlaka ya Majisfi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Morogoro (MORUWASA).
 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ( wa kwanza kulia ) akisikiliza jambo kutoka kwa Mtaalamu wa  mradi wa Millennium Challenge Account (MCT), Sean...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara ya naibu waziri wa maji Amos Makalla Mbeya vijijini

Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla amefanya ziara ya vijiji mbalimbali Mbeya Vijijini ambako amezindua mradi mkubwa maji vijiji vya Shongo na Igale maelfu wafurahia. Katika ziara hiyo kaagiza wakala wa visima (DDCA) kuchimba kisima kirefu kijjiji cha Mjele kutekeleza ahadi ya mhe Rais Jakaya Kikwete kuwaokoa wananchi maelfu kufuata maji umbali wa kilomita 7. Pia ametoa ahadi ya kuanza utekelezaji wa mradi wa maji wa maji vijiji vya Iwindi,Mwashiwawala na Izumbwe ambao ulisimama baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani