Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MH. MAKAMBA AONGOZA MKUTANO WA WANAMUZI WA MUZIKI WA INJILI NA WASAMBAZAJI ULIOFANYIKA LEO HOTELI YA WANYAMA SINZA JIJINI DAR

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET), John Kitime.

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mzee Makassy.Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare. Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba (kulia), akizungumza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKUTANO WA CHADEMA ULIOFANYIKA TANGANYIKA PACKERS KAWE JANA JIJINI DAR

 Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA Mh.Freeman Mbowe akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Parkers Jana, ambapo pia alizindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe Mh. Halima Mdee.  Mh Freeman Mbowe, Halima Mdee na John Mnyika wakizindua kitabu cha Mbunge wa Kawe Mh Halima Mdee  Gwajima akiwa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA… ...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUBWA WA INJILI WAFANYIKA VIWANJA VYA BIAFRA,KINONDONI JIJINI DAR

Mchungaji kiongozi wa kanisa la Kinondoni Reviral Church ambao ndio waandaaji wa mkutano wa Injili unaoendelea kufanyika kwenye viwanja vya Biafra Kinondoni, Dkt. Rogate Swai akihubiri neno la mungu katika mkutano huo. Waambaji wa kwaya wa Kanisa la Kinondoni Reviral Church wakipamba jukwaa katika mkutano mkubwa wa injili unaoendelea kufanyika katika viwanja vya Biafra,Kinondini jijini Dar es salaam. Mamia ya watu wakifuatilia kwa karibu mkutano huo mkubwa na waaina yake, katika...

 

10 years ago

GPL

DR. MYLES MUNROE AFANYA MKUTANO WA PILI SERENA HOTELI JIJINI DAR

Mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na biashara Dr. Myles Munroe kutoka Nassau,Bahamas akiendesha mkutano wa wa viongozi wa serikali, wafanya biashara na Viongozi wa makanisa. Mkurugenzi Mkuu wa Global Publishers and General Enterprises Limited, Eric Shigongo (wa pili kushoto) akiwa na mke wake, Veneranda Shigongo (kushoto) wakiendelea kumsikiliza mzungumzaji maarufu… ...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Trévo kufanyika hoteli ya Serena jijini Dar Februari 27, 2015

Karibu kwenye mkutano wa Trevo utakaifanyika Dar es salaam tarehe 27 Feb kuanzia SAA kumi jioni.kiingilio ni bure.Karibu kusikiliza fursa ya biashara toka kwa Mark Stevens ,mwanzilishi wa Trévo . Kutakuwa na mkutano pia mkiani Arusha tarehe 28 Feb

 

9 years ago

Michuzi

AJALI YA ROLI SINZA MORI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Ajali ya roli imetokea Sinza Mori mida hii baada ya roli hilo kuchomoka tairi ya nyuma lakini hakuna mtu aliyepata madhara katika ajari hiyo pamoja na tairi kwenda mbali zaidi na eneo la tukio, hata hivyo dereva wa roli hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.Roli lenye namba za usajili T 245 DEZ  limechomoka taili ya nyuma maeneo la Sinza Mori leo barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam..  Roli likiwa barabarani ya Shekilango barabara ya Shekilango jijini Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Yoweri Museveni afungua mkutano wa marais wastaafu katika hoteli ya Serena jijini Dar

????????????????????????????????????

Mh. Rais Yoweri Museveni wa Uganda akifungua rasmi mkutano wa Marais wastaafu wa Afrka AFRICA LEADERSHIP FORUM unaofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Mkutano huo unaojumuisha marais wastaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania , Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Hifikepunye Lucas Pohamba wa Namibia, Festus Mogaye wa Botswana, Bakili Muluzi wa Malawi na Jerry Rowlings wa Ghana unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo katika bara la Afrika na Changamoto zinazokabili barahilo na...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS YOWERI MUSEVEN AFUNGUA MKUTANO WA MARAIS WASTAAFU KATIKA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR

????????????????????????????????????Mh. Rais Yoweri Museveni wa Uganda akifungua rasmi mkutano wa Marais wastaafu wa Afrka AFRICA LEADERSHIP FORUM unaofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Mkutano huo unaojumuisha marais wastaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania , Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Hifikepunye Lucas Pohamba wa Namibia, Festus Mogaye wa Botswana, Bakili Muluzi wa Malawi na Jerry Rowlings wa Ghana unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo katika bara la Afrika na Changamoto zinazokabili barahilo na...

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Maendeleo wa Don Bosco toka Ubeligiji, Filip Lammens (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari katika Mkutano wa kujadili Uwezeshaji kwa vijana ulioandaliwa na Don Bosco Kanda ya Afrika Dar es Salaam leo asubuhi.Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi wa Don Bosco, Afrika Mashariki, Padri Eric Mairura (kushoto), akizungumza na wanahabari kuhusu mkutano huo.
Mkurugenzi wa Ofisi ya Mipango na Maendeleo Afrika Magharibi wa Don Bosco, Tsedi Yao Ati akizungumza na wanahabari.
Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani