Mhe. Ndugai akutana na Mkurugenzi mkazi wa Taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya kidemokrasia na utawala bora (The international Republican Institute).
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzMIqVFO79E/Vl8TuJ1_fXI/AAAAAAAIJ1Q/14Fz5b0zc1I/s72-c/0c68c7d2-c9c2-4c7b-ab54-77abb31c3267.jpg)
Mkurugenzii Mkazi wa Taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya kidemokrasia na utawala bora (The international Republican Institute) Bi. Robina Namusisi akisalimiana na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembea Ofisini kwake Dar es Salaam leo kuelezea mipango ya taasisi yake inayokusudia kushirikiliana na Bunge katika kutoa mafunzo ya kidemokrasia kwa Wabunge vijana na wanawake.
Mkurugenzii Mkazi wa Taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya kidemokrasia na utawala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s72-c/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka taasisi ya kimataifa international institute of social studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s640/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6Ixhbro1Fc0/Vl3rBvN39SI/AAAAAAAIJo0/VdWUOtsDS7I/s72-c/ma.png)
MHE. BALOZI WILSON M. MASILINGI AKUTANA NA BI. CATHY BYRNE, MKURUGENZI MWANDAMIZI WA MASUALA YA AFRIKA, IKULU YA MAREKANI (WHITE HOUSE) TAREHE 30 NOVEMBA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KgJ4JIA3JmE/U_R7JgtM_bI/AAAAAAAGA3c/bHs6_-AoNmE/s72-c/unnamed.jpg)
MHE. BALOZI BATILDA S. BURIAN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU MPYA WA TAASISI YA “SHELTER AFRIQUE”, NAIROBI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgJ4JIA3JmE/U_R7JgtM_bI/AAAAAAAGA3c/bHs6_-AoNmE/s1600/unnamed.jpg)
======= ======= ======= =======
Bw. James Mugerwa, Mkurugenzi Mkuu Mpya wa Taasisi ya Shelter Afrique yenye makao yake makuu hapa jijini Nairobi alimtembelea Mhe. Balozi Batilda ofisini kwake kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JLIoAVqQ79I/U5iOtER16uI/AAAAAAAFpyU/CSElZT9kFKE/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Mhe. Membe akutana na Mhe. Mark Simmonds, Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika
![](http://2.bp.blogspot.com/-JLIoAVqQ79I/U5iOtER16uI/AAAAAAAFpyU/CSElZT9kFKE/s1600/unnamed+(64).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YbAf1KfPZCs/U8aDkUVvQTI/AAAAAAAF2wk/Ij7EiHrpNCU/s72-c/Untitled.png)
Tume ya Haki za Binadamu na utawala Bora yaagana na Mtaalamu wa masuala ya ulinzi wa mtoto kutoka UNICEF
Bi Rachel amekuwa akifanya kazi karibu na Tume katika kipindi chote cha miaka mine (4) aliyokuwa nchini, baadhi ya kazi alizofanya akiwa na Tume ni pamoja na kuratibu kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZXDVRfMY8p4/VEgB__3ck0I/AAAAAAAGs0g/GVlYDdkcVeM/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA UTAWALA NA UONGOZI KUTOKA BAHAMAS, DKT. MYLES MUNROE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZXDVRfMY8p4/VEgB__3ck0I/AAAAAAAGs0g/GVlYDdkcVeM/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PLwv6e9I2Uw/VEgB_6Sy2PI/AAAAAAAGs0M/ic4r2eYd-g4/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dkt. Bilal akutana na Rais wa MMI bingwa wa masuala ya utawala na uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha, Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na Uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe, na ujumbe wake wakati walipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, juzi Oktoba 20, 2014 akiwa na ujumbe wake na kufanya mazungumzo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na...
9 years ago
MichuziMhe. Anjela Kairuki Aanza Kazi rasmi Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora