MHE> EDWARD NGOYAI LOWASA HAKUBALIANI NA MATOKEO YA UCHAGUZI YANAYOTANGAZWA NA NEC
![](http://4.bp.blogspot.com/-uhBOwj2lxb4/VjEhdVdgmHI/AAAAAAAIDS4/4ERVcu6g8ew/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
Ndugu waandishi wa habari;Tumewaita hapa kuwaomba muwaeleze Watanzania wenzetu, jumuiya ya kimataifa na marafiki zetu wengine wa ndani na nje, kwamba hatukubaliani na matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, yanayoendelea kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kote nchini.Hii ni kwa sababu, upo ushahidi wa wazi unaothibitisha kwamba utangazaji wa matokeo hayo umevurugwa kwa makusudi na watendaji ndani ya NEC kwa kusaidiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM).Katika maeneo mengi ambako matokeo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
9 years ago
CHADEMA BlogKAULI YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUPINGA MATOKEO YANAYOENDELEA KUTANGAZWA NA NEC
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LYEXafQ5n18/default.jpg)
9 years ago
TheCitizen24 Oct
PROFILE: Edward Ngoyai Lowassa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dtIwDz3Dw6U/U_xJlX9eTLI/AAAAAAAGCeA/SAEY9nQyZ8Q/s72-c/IMG_5654.jpg)
Heri ya Kuzaliwa Mh. Edward Ngoyai Lowassa
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtIwDz3Dw6U/U_xJlX9eTLI/AAAAAAAGCeA/SAEY9nQyZ8Q/s1600/IMG_5654.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4vNPsqubuCI/U_xJsglsZjI/AAAAAAAGCeM/v6Gyez7QcVs/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/8ZkyxNsuQ5M/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qfOvFNEThXM/VdBQaM_47EI/AAAAAAAATqU/AvtHDIVmYtI/s72-c/E86A9073%2B%25281280x853%2529%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Mh. Edward Lowasa hana msimamo thabit juu ya mashekhe wa Zanzibar walowekwa mahabusu.
Hapo jana, 03 october 2015. Ukawa walikuwa na mkutano mkubwa wa hadhara ulofanyika kisiwani Pemba. Katika Mkutano huo waliongea viongozi takriban 9 wa Ukawa. Ni saa nane kamili wakati Mh. Edward Lowasa alipopanda katika jukwaa na […]
The post Mh. Edward Lowasa hana msimamo thabit juu ya mashekhe wa Zanzibar walowekwa mahabusu. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jmGrp1volbk/VaSi7hidWKI/AAAAAAAAxs0/89pi1cMhwZ8/s72-c/Lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Baada ya Jina Lake Kukatwa, Haya Ndiyo Yanayomsumbua Edward Lowasa Mpaka Anashindwa Kula
![](http://4.bp.blogspot.com/-jmGrp1volbk/VaSi7hidWKI/AAAAAAAAxs0/89pi1cMhwZ8/s640/Lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Nimepata taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Lowasa kuwa tangu juzi chakula hakijapanda kwa mzee. Kwamba kila akiwekewa chakula mezani, anachokonoa kidogo tu na inachukua muda mrefu kati ya tonge moja hadi jingine. Pia mdau huyo kanidokeza kuwa Mzee Lowasa kwa sasa ana mawazo mengi sana na hajui afanye nini. Wapo waliomshauri kuwa akae kimya katika kipindi hiki kigumu ili apate muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi. Hata hivyo, ushauri huo ameutupa kwani anahisi kwamba muda...