Michael van Gerwen atinga nane bora
Mchezaji wa mchezo wa Vishale Michael van Gerwen,amefanikiwa kuingia hatua ya nane bora kwa kumfunga Terry Jenkins kwa mabao 4-1
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Serena Williams atinga nane bora.
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Andy Murray atinga nane bora
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VzgMOCLnFFo/VcINcDn352I/AAAAAAAHuXc/9XtRv-c_j1M/s72-c/image.jpeg)
BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA LINDI NJIA BORA ZA KISASA ZA UFUGAJI MIFUGO, MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Michael Carrick ni mchezaji bora
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Murray atinga 16 bora
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
ZAMARADI: Nategemea kazi bora kutoka kwa Wema na Van Vicker
Mtangazaji na wa kipindi cha television cha maswala ya filamu,TAKEONE, kinachorusha na kituo cha CloudsTV, Zamaradi Mtetema baada ya hivi majuzi kutoa maoni yake juu ya tasnia hii ya filamu hapa nchini[SOMA HAPA], ambayo yaliozua mjadala mrefu miongoni mwawadau wa tasnia hii.
Leo ameibuka na kuonekana kuwa mwenye shauku kubwa na matumaini makubwa ya kazi anayoifanya muigizaji Wema Sepetu huko nchini Ghana. Zamaradi kupitia ukurasa wake aliandika;
Baada ya kuandika hivyo mashabiki wengi...
9 years ago
Michuzi01 Sep
MO DEWJI FOUNDATION YAKABIDHI MATUNDU NANE YA CHOO BORA KWENYE SHULE YA MSINGI KIBAONI
![DSC01579](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01579.jpg)
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, Sundi Samike, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane chenye thamani ya zaidi ya shilingi 16 milioni zilizotolewa na MO Dewji Foundation (shilingi 14 milioni) na Doris Mollel Foundation shilingi 2.3 milioni).
![DSC01583](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01583.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Mo Dewji Foundation yakabidhi matundu nane ya Choo bora kwenye shule ya Msingi Kibaoni Singida
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, Sundi Samike, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane chenye thamani ya zaidi ya shilingi 16 milioni zilizotolewa na MO Dewji Foundation (shilingi 14 milioni) na Doris Mollel Foundation shilingi 2.3 milioni).
Mwakilishi wa Mo Dewji Foundation mkoani Singida, Duda Mughenyi, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, chenye thamani ya zaidi ya...