Michezo Uhuru LEO!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Igm16WgevHk/U-jFXhq_YGI/AAAAAAAABeA/ZVTnOZdHkDM/s72-c/AZAM.jpg)
Azam yaua Kagame
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Azam imetoa onyo kali kwa wapinzani kwenye michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kuigagadua KMKM mabao 4-0.
Mchezo huo kwa pili kwa timu hizo tangu kuanza michuano hiyo juzi, ulichezwa jana kwenye Uwanja wa Amahoro, mjini Kigali, Rwanda.
Katika mchezo huo, Azam ilianza mchezo kwa kasi kwa kusaka mabao ya mapema.
Azam ilipata bao la kwanza sekunde ya 58 kupitia kwa John Bocco, akiunganisha pasi safi iliyopigwa na beki Shomari Kapombe.
Dakika ya nne Azam...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s72-c/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s640/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_UfMJOEQiIc/Vmpl_lWbDXI/AAAAAAAILlU/__MwgOyGPPQ/s640/AqveZdopwZHFBpiPoepzMj4VLm0Lma6XEp9hMFXY6CdU.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T6qK-ie3y0U/Vmpl9qcON0I/AAAAAAAILlE/tuC2elMDZk4/s640/AofBcxIlfHHONd4L3WBx3D_DBxJ0YFsX4NHd4jQysETK.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Matokeo michezo ya Jumamosi Novemba 21 na ratiba ya michezo ya leo Jumapili!
Wachezaji wa Liver Pool wakishangilia baada ya ushindi wao wa mchezo wa jana waliochinda bao 4-1, dhidi ya Manchester City.
WINGEREZA – PRIMEAR LEAGUE
Watford 1 – 2 Manchester United
Chelsea 1 – 0 Norwich City
Everton 4 – 0 Aston Villa
Southampton 0 – 1 Stoke City
West Bromwich Albion 2 – 1 Arsenal
Newcastle 0 – 3 Leicester City
Swansea 2 – 2 Afc Bournemouth
Manchester City 1 – 4 Liverpool
HISPANIA – LIGA BBVA
Real Sociedad 2 – 0 Sevilla
Real Madrid 0 – 4 Barcelona
Espanyol 2 – 0...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano
Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo hiyo jana..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk
Real Madrid 8 – 0 Malmo
GROUP B;
Wolfsburg 3 – 2 Manchester United
PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow
GROUP C;
Benfica 1 – 2 Atletico Madrid
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Miaka 52 ya uhuru, michezo haijafanikiwa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow
![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MsQsA4MGUH4/U81CPq1azgI/AAAAAAAF4Zs/Ez3Ku5uJzjo/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q9fCvirgHPg/U81CR6aWs3I/AAAAAAAF4Z0/TR6-ys7TT3Y/s1600/unnamed+(26).jpg)
9 years ago
Habarileo17 Oct
JK kuzindua kituo cha michezo leo
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua kituo kipya cha michezo mbalimbali kitakachoitwa Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park) kilichopo kidongo Chekundu jijini Dar es Salam.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
JK kubariki Uhuru Marathon leo
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Uhuru Marathon kivumbi leo