Miaka 52 ya uhuru, michezo haijafanikiwa
Leo Watanzania zaidi ya milioni 40 wataungana kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika tangu  Desemba 9, 1961 ambapo bendera ya Mwingereza
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s72-c/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s640/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_UfMJOEQiIc/Vmpl_lWbDXI/AAAAAAAILlU/__MwgOyGPPQ/s640/AqveZdopwZHFBpiPoepzMj4VLm0Lma6XEp9hMFXY6CdU.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T6qK-ie3y0U/Vmpl9qcON0I/AAAAAAAILlE/tuC2elMDZk4/s640/AofBcxIlfHHONd4L3WBx3D_DBxJ0YFsX4NHd4jQysETK.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA
Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-Igm16WgevHk/U-jFXhq_YGI/AAAAAAAABeA/ZVTnOZdHkDM/s72-c/AZAM.jpg)
Michezo Uhuru LEO!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Igm16WgevHk/U-jFXhq_YGI/AAAAAAAABeA/ZVTnOZdHkDM/s1600/AZAM.jpg)
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Azam imetoa onyo kali kwa wapinzani kwenye michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kuigagadua KMKM mabao 4-0.
Mchezo huo kwa pili kwa timu hizo tangu kuanza michuano hiyo juzi, ulichezwa jana kwenye Uwanja wa Amahoro, mjini Kigali, Rwanda.
Katika mchezo huo, Azam ilianza mchezo kwa kasi kwa kusaka mabao ya mapema.
Azam ilipata bao la kwanza sekunde ya 58 kupitia kwa John Bocco, akiunganisha pasi safi iliyopigwa na beki Shomari Kapombe.
Dakika ya nne Azam...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Miaka 50 bila maendeleo ya michezo
“Chaneta, Chaneza hawaelewani, Jata, ZJA watofautiana, ngumi watembeza bakuli,udhamini wakwamisha ligi ya kikapu, soka yapoteza dira, ZFA yataka kujiunga Fifa.â€
10 years ago
VijimamboMIAKA 66 YA UHURU WA INDIA
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Miaka 52 ya uhuru, malaria imetushinda
Hivi karibuni, Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu amesema asilimia 97 ya Watanzania wako hatarini kuambukizwa ugonjwa wa malaria huku ugonjwa huo ukibeba asilimia 30 ya mzigo wa magonjwa kwa Taifa.
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru
Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watanzania waadhimisha miaka 53 ya uhuru
Tanzania bara leo inaadhimisha miaka 53 toka ilipojipatia uhuru toka kwa Muingereza Desemba 9, mwaka 1961.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CGzn8jfDMVI/Xprzh_BtzPI/AAAAAAAAyOM/uyPFFeEBPGYwk3JzbQ-FokLzzNdQ9Ru1gCLcBGAsYHQ/s72-c/53152745_303.jpg)
ZIMBABWE YAADHIMISHA MIAKA 40 YA UHURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-CGzn8jfDMVI/Xprzh_BtzPI/AAAAAAAAyOM/uyPFFeEBPGYwk3JzbQ-FokLzzNdQ9Ru1gCLcBGAsYHQ/s400/53152745_303.jpg)
Kawaida maelfu ya raia wa Zimbabwe hushiriki katika hafla za kuadhimisha sikukuu ya uhuru kila tarehe 18...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania