Miradi Nyanda za Juu yatekelezwa bila vyeti vya mazingira
ASILIMIA 87 ya miradi ya 124 ya uzalishaji na maendeleo iliyokaguliwa katika mikoa ya Nyanda Juu Kusini inatekelezwa bila ya kuwa na vyeti vya mazingira.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Feb
TAMWA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JUU YA KUPAMBANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
Na Fredy Mgunda, Iringa
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.Msisitizo huo...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari nyanda za juu kusini wanolewa juu ya habari za uchaguzi
Semina hiyo inaendeshwa kwa pamoja na shirika la utangazaji la Uingereza BBC na baraza la habari Tanzania MTC.(Picha na Edwin Moshi wa...
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
11 years ago
Habarileo30 May
Nyanda za Juu Kusini wahimizwa kutahiri
WAKATI mikoa mitatu ya Nyanda za Juu Kusini ikiongoza kwa maambukizi ya Ukimwi, Serikali imewahimiza wanaume, bila kujali umri, kutahiriwa kama moja ya njia za kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo usio na kinga wala tiba.
10 years ago
Habarileo30 May
Dk Slaa kuanza ziara Nyanda za Juu Kusini
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa, anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi, ambako atakagua mwenendo wa uandikishaji wa wapiga kura unaofanyika kwa mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR).
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Siri ya CCM, Ukawa Nyanda za Juu Kusini
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Maureen Redd’s Miss Nyanda za Juu Kusini
MREMBO Maureen Godfrey kutoka Mkoa mpya wa Njombe, juzi usiku alivishwa taji la kuwa Redd’s Miss Nyanda za Juu Kusini na kujinyakulia kitita cha sh. milioni 1 baada ya kuwabwaga...