Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS UNIVERSE 2015 PAULINA VEGA KITOKA COLOMBIA


Huyu ndiyo alienyakua taji la Miss Universe 2015 Paulina Vega kutoka Colombia akiachia tabasamu baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa mashindano hayo yaliyokuwa yakilindika huko Doral. Fl. Hapa chini washindani wote na picha mbili za mchindi wa mashindano hayo Paulina Vega.
Read more here: http://www.miamiherald.com/news/local/community/miami-dade/doral/article8124831.html#storylink=cpy

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

9 years ago

Global Publishers

Miss Universe 2015 atetea wanaomponda Miss Colombia

2FA0137100000578-3374966-image-a-56_1451172165739Mshinda wa Shindano la Miss Universe 2015, Pia Alonzo Wurtzbach.

MSHINDI wa Shindano la Miss Universe 2015, Pia Alonzo Wurtzbach kwa mara ya kwanza amefungukia watu wanaomponda Miss Colombia kuwa waache mara moja.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Miss Pia aliongelea kuhusiana na mshiriki huyo wa Colombia ambaye alitaka kupewa taji kimakosa baada ya kutajwa kama mshindi kimakosa na mshereheshaji (MC), Steve Harvey katika fainali zilizofanyika hivi karibuni.

2FA01DF000000578-3374966-image-a-55_1451172149264“Hii ni kwa ajili ya mashabiki...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015 Pia Alonzo awaomba mashabiki waache chuki, amsifia Miss Colombia aliyenyang’anywa taji

PIA

Baada ya sintofahamu kuhusu kilichotokea kwenye shindano la Miss Universe 2015, mshindi wa taji hilo kwa mwaka huu Miss Philippines – Pia Alonzo Wurtzbach amefunguka kupitia Facebook kuwashukuru watu mbalimbali akiwemo Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi kwa dakika chache kabla ya kuvuliwa taji na kubaki kuwa mshindi wa pili.

PIA
Mrembo PIA

PIA pia amewaomba mashabiki kuacha kubishana kuhusu kile kilichotokea na kuacha kutumiana ujumbe wa chuki na kuwaambia kuwa lengo la shindano hilo ni...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Colombia atoa ya moyoni kuhusu kuporwa ushindi wa Miss Universe

miss universe

Baada ya shindano la Miss Universe lililofanyika Jumapili iliyopita (Dec 20) kukumbwa na dosari ya MC kukosea kumtaja mshindi, Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi na dakika chache baadaye kupigwa na butwaa baada ya MC Steve Harvey kurudi na kutangaza kuwa alipewa ushindi kimakosa, hatimaye mrembo huyo ametoa ya moyoni na kumpongeza mshindi wa mwaka huu Miss Ufilipino.

miss universe

Kupitia Instagram yake Miss Colombia , Ariadna Gutierrez aliandika ujumbe mrefu wa kugusa kuhusu kilichotokea,...

 

9 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA Lorraine at Miss Universe 2015

 Lorraina C. Marriot, Miss Universe Tanzania 2015 poses for a photo at The Venetian in Las Vegas, Nevada on Monday, December 7th. The 2015 Miss Universe contestants are touring, filming, rehearsing and preparing to compete for the DIC Crown in Las Vegas. Tune in to the FOX telecast at 7:00 PM ET live/PT tape-delayed on Sunday, Dec. 20, from Planet Hollywood Resort & Casino in Las Vegas to see who will become Miss Universe 2015. HO/The Miss Universe OrganizationKeywords: Miss Universe 2015,...

 

9 years ago

Global Publishers

Pia Wurtzbach ndiye Miss Universe 2015

Las Vegas, Marekani
Usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Desemba 21, 2015 katika Ukumbi wa AXIS, Las Vegas, Nevada nchini Marekani, lile shindano kubwa la ulimbwende duniani la Miss Universe, lilitimua vumbi ambapo mrembo kutoka Ufilipino (Philippines), Pia Wurtzbach aliibuka kidedea na kuvalishwa taji hilo.Pilipinas_pia_alonzo_wurtzbach-010 Pia akiwapungia mkono mashabiki baada ya kutangazwa mshindi

Kituko katika fainali hizo, kilikuwa ni pale MC wa shindano hilo, Steve Harvey alipomtangaza kimakosa mshiriki kutoka Colombia,...

 

9 years ago

Michuzi

Lorraine Marriot - Miss Universe Tanzania 2015

Picha ya Lorraine Marriot -Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas - Official Photo Head shot

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA WASHINDANI WA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015

Walimbwende watakaochuana kuvaa taji la Miss Universe 2015, mashindano yatakayo fanyika huko City of Doral FL, usiku wa Tarehe 25 ndiyo hawa jitiririshe kwa picha zao chini.

Miss Universe contestant Ziphozakhe Zokufa, of South Africa, waves to her fans during the  Yamamay swimsuit runway show+24



 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani