MIUNDO MBINU NDANI YA JIJI LA BONGO NI KERO ISIYO KWEPEKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1gy-Bkv0eM/VQ7nK7jjZzI/AAAAAAADdXY/RWhEGiapoIY/s72-c/11064814_10204166497179064_8941732038213042972_n.jpg)
Mvua zinazoendela bongo haya ndiyo madhara yake hii yote ni kutokana na miundo minu mibovu.
Mvua zikishesha bongo hii ndiyo kero yake watu upata shida katika harakati zao za kutafuta riziki
Barabara zote maji habari ndiyo hiyo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hNk61YqrrzE/XmxyMalv_dI/AAAAAAALjCk/BwEG1bIF9EIRItb5viOcM5xM8Xh7mfocwCLcBGAsYHQ/s72-c/0835902e-1f7a-4b86-aab7-1e7a4384e830.jpg)
MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDO MBINU YA BARABARA
Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali hapa Nchini, zimendelea kuleta athari tofauti ikiwa ni pamoja uharibifu wa Miundo Mbinu ya Barabara na kusababisha adha Kwa wasafiri na wasafirishaji wa mizigo.
Ikiwa ni siku chache tangu kukatika daraja linalounganisha Barbara kuu ya Dodoma Morogoro, hali kama hiyo imejitokeza tena katika Barabara Kuu ya Lusahunga Biharamulo eneo la Nyambale, daraja dogo limepasuka kutokana na kulemewa wingi wa Maji...
11 years ago
Michuzi18 Mar
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua za masika Zanzibar zasababisha vifo na uharibifu wa miundo mbinu
Pichani juu na chini ni baadhi ya sehemu za Unguja zilizoathirika na mvua za masika zinazoendelea kunyesha visiwani humo.(Picha zote na Othman Maulid wa www.zanzinews.com)
Na Abdulla Ali-Maelezo Zanzibar
Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Visiwani Zanzibar zimesababisha hasara kubwa ikiwemo upotevu mali na mifugo, uharibifu wa miundombinu pamoja na kusababisha vifo vya watu.
Hayo yamweelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BjBrLu5zfeA/Vm5nGzit3lI/AAAAAAAIMPU/H0kG3ikN0ik/s72-c/A.jpg)
MWENYEKITI MPYA WA BODI YA TTCL ATEMBELEA MIUNDO MBINU YA KAMPUNI HIYO
Katika salamu zake kwa Menejiment na Wafanyakazi, Prof Mbwette amewataka kuongeza juhudi katika kufanya kazi kwa ufanisi ili kwenda na kasi ya Serikali ya awamu ya tano sambamba na mabadiliko makubwa ya teknolojia katika Sekta ya Mawasiliano...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MIUNDO MBINU ISSA GAVU AFUNGUA MTAMBO WA KUSAFISHIA MAJI UZING'AMBWA.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bRREGNJ7cX8/VK_bPrfA7aI/AAAAAAAG8OA/zvVGBQIEVGw/s72-c/01.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA wafanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya maji
![](http://3.bp.blogspot.com/-bRREGNJ7cX8/VK_bPrfA7aI/AAAAAAAG8OA/zvVGBQIEVGw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8zJNE82s7Kw/VK_bOaM-SDI/AAAAAAAG8Ns/9LqgpbdI_is/s1600/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jan
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA wamefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya maji
Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) Didas Mwilawi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha akisalimiana na Mwenyekiti wa wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA Christine Kilindu alipowasili eneo zinapojengwa ofisi za mradi wa bomba kuu la maji kutoka Ruvu Juu zilizopo Kibaha.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) wamefanya ziara ya siku moja katika mikoa ya Dar es salaam...