Mkeka wanukia barabara ya Mikocheni Tanesco mpaka Msasani

Maandalizi ya kutandika Mkeka wa nguvu katika Barabara ya kutotea Tanesco Mikocheni A mpaka Msasani kama inavyoonekana pichani.hii ni sehemu ya maendeleo yanayofanywa na Serikali yetu sikivu.
Siku si nyingi mambo yatakuwa mswano na watu watakuwa wanaleza tu jamvini.
Mmoja wa wataalam wa ujenzi wa barabara hiyo akiangalia kama mambo yako vyema.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MKEKA WAENDELEA KUTANDAZWA BARABARA YA HEDARU MPAKA SAME MKOANI KILIMANJARO





10 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi
MASHIMOZZZ BARABARA YA MIGOMBANI, MIKOCHENI "A" JIJINI DAR


10 years ago
GPLWAKAZI WA MSASANI WASAFISHA UFUKWE WA MSASANI
Baadhi ya wananchi wakifanya usafi katika fukwe ya Msasani.…
11 years ago
MichuziMh. Nassary ashiriki kazi za mikono na wananchi kwa Ujenzi wa barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura,Arumeru Mashariki
Mapumziko kwa chakula cha mchana mara baada ya kuchapa kazi ya kutengeneza barabara.
11 years ago
GPLMH. NASSARY ASHIRIKI KAZI ZA MIKONO NA WANANCHI KWA UJENZI WA BARABARA YA SAWMILL- USHILI MPAKA SURA, ARUMERU MASHARIKI
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary (anaeonekana kunyanyua kitu) akishirikiana na baadhi ya Wananchi wa vijiji vya Ushili na Sura Arumeru Mashariki kuchimba sehemu inayotakiwa kupita barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary akiendelea na kazi hiyo kwa kushirikiana na Wananchi… ...
11 years ago
MichuziMEYA WA ILALA JERRY SILAA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA UKONGA KUELEKEA MAZIZINI MPAKA MOSHI BAR
11 years ago
GPLMEYA WA ILALA JERRY SILAA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA UKONGA KUELEKEA MAZIZINI MPAKA MOSHI BAR
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa wa Kwanza kushoto akiwa na Mhandisi wa Barabara(mwenye shati Jeusi) pamoja na Diwani wa ukonga Elizabeth Mbano(katikati) na wa kwanza Kulia ni Mhandisi wa Manispaa Bwana Muhinda Kassimu wakitazama maendeleo ya ujenzi wa kipande cha barabara kutoka ukonga-mazizini mpaka moshi bar.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania