Mkurugenzi Duwasa afariki dunia
MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA), Dk Peter Mokiwa amefariki usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambapo alilazwa kwa ajili ya matibabu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mkurugenzi Bunge afariki dunia
Mkurugenzi Msaidizi wa Shughuli za Bunge, Hellen Mbeba (36) amefariki dunia ghafla wakati akiwahishwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-e8xcmVz8E6s/VSWvXRd_2OI/AAAAAAADhQI/9RoX2C1Alig/s72-c/dr.%2Bmhita.jpg)
ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-e8xcmVz8E6s/VSWvXRd_2OI/AAAAAAADhQI/9RoX2C1Alig/s1600/dr.%2Bmhita.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hgH_XyluEIE/VlhGtgvxRRI/AAAAAAAIIm8/NLE-p7CaOFc/s72-c/20151127032037.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANZIA: ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu (mstaafu) Dkt. Mohamed Mhita kilichotokea siku ya Jumatatu tarehe 06 Aprili 2015 katika hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mhita alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa iliyokuwa Idara Kuu ya Hali ya Hewa kwa kipindi cha miaka 8 kuanzia 1992 hadi 1999 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kipindi cha miaka 9 kuanzia 1999...
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Mkurugenzi Msaidizi shughuli za Bunge, afariki dunia wakati akipelekwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.
11 years ago
Michuzi14 Feb
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Dk. Nchimbi aishukia Duwasa
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, ametoa wiki moja kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Dodoma (Duwasa), kung’oa mara moja mifumo ya maji isiyotakiwa...
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania