MKUTANO MAALUM WA WADAU WA FILAMU ZA MAADILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxA4N1k-D2Q/VQLKpUs37oI/AAAAAAADcCs/v6sPyd_FGTM/s72-c/maadili-blogtitle1024.png)
WASANII,WATAYARISHAJI, WASAMBAZI,WATAMAZAJI NA WAANDISHI WOTE MNAKARIBISHWA
Asalaam Alaaikum Warhmatullah Wabarakatuhu
Tunapenda kuwajulisha wadau wa maadili movies nchini kutakuwa na mkutano wa mkubwa utakaofanyika tarehe 31 Mai 2015 kuanzia saa 2.00 asubuhi ukumbi wa Jaffar Complex uliopo Mnazi mmoja jijini Dar es salaam
AGENDA ZA MKUTANO
Kuandaa daftar la orodha ya wasanii na kuchagua rasmi aina ya mfumo wa filamu zetu na mengineyo
Kuchagua uongozi wa wa muda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziGEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s72-c/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
ZIFF YAWAKUMBUSHA WADAU WA FILAMU NCHINI KUWASILISHA FILAMU ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s1600/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
"Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo".
Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu ikiwa ndani ya DVD moja na si...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4UAnPs1U5qA/VZBjiMHkADI/AAAAAAAHlUY/iXI5ItlLtoo/s72-c/DCB0.jpg)
Wadau wa Filamu waipongeza Bodi ya Filamu Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-4UAnPs1U5qA/VZBjiMHkADI/AAAAAAAHlUY/iXI5ItlLtoo/s640/DCB0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQBWdauvSSA/VZBjieR77hI/AAAAAAAHlUU/u_1CqHFe5Qc/s640/DCB1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hOZXX85nCM0/VUsptBIplVI/AAAAAAAHV2g/D5VBVet20Qk/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-07%2Bat%2B11.55.42%2BAM.png)
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
UNESCO, TCRA yataka wadau wa habari katika matumizi ya intaneti kuzingatia usiri na maadili
Mwenyekiti wa National Governance Internet Forum ambaye pia ni Rais wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akiwakaribisha wadau wa mitandao na watumiaji wa intaneti kwenye jukwaa hilo kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA kufungua rasmi jukwaa hilo.. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Tanzania Education and Research Network (TERNET), Amos Nungu na Kushoto ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Wadau wa filamu walivyomlilia Kuambiana
WIKI hii ilikuwa siku ya huzuni kwa tasnia ya filamu baada ya msanii Adam Philip Kuambiana kufariki, kifo kilichotokana na maradhi ya vidonda vya tumbo. Umauti ulimkuta Kuambiana usiku wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Mtitu awashukuru wadau wa filamu
MKURUGENZI wa kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu, amewashukuru wadau wa filamu kutokana na kitendo chao cha kuwa beba kwa beka katika msiba wa baba yake mzazi, Mzee...