MKUTANO MKUU WA JIMBO LA ISMANI WAFANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-TSMCamsT4xo/VZAxns3ZwwI/AAAAAAAAFK0/qx68ADoTomk/s72-c/katibu.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Rajab Luhwavi akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa Jimbo la Ismani uliyofanyika leo katika Ukumbi wa Kanisa Katoliki Kichangani, mjini Iringa.
Wajumbe wa mkutano mkuu wa Jimbo la Ismani wakifuatilia kwa makini taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 -2015 kutoka kwa mbunge wao, Wiliam Lukuvi uliyofanyika leo katika Ukumbi wa Kanisa Katoliki Kichangani, mjini Iringa.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Rajab Luhwavi akihutubia wajumbe...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XebGRlUrV2Y/ViCL2Ma9aLI/AAAAAAAAAXU/l9RcaBo8Lnw/s72-c/images.jpg)
LUKUVI AMEMBEZA MPINZANI WAKE KATIKA JIMBO LA ISMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XebGRlUrV2Y/ViCL2Ma9aLI/AAAAAAAAAXU/l9RcaBo8Lnw/s640/images.jpg)
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi Na fredy mgunda,IsmaniMGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi amembeza mgombea mwenzake anayegombea ubunge kwenye jimbo hilo kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema Patrick Olle Sosopi na kusema kuwa Sosopi hata afanye hawezi kuvaa viatu vyake kwa kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kauli ya Lukuvi aliitoa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa...
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Williamu Lukuvi amembeza mpinzani wake katika jimbo la Ismani
Mgombea ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi.
Na Fredy Mgunda, Ismani
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi amembeza mgombea mwenzake anayegombea ubunge kwenye jimbo hilo kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema Patrick Olle Sosopi na kusema kuwa Sosopi hata afanye hawezi kuvaa viatu vyake kwa kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kauli ya Lukuvi aliitoa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu2sKIagwxc/VTiFA9Vh7cI/AAAAAAAAAMY/VndbvJ8lmWc/s72-c/IMG-20150422-WA0069.jpg)
KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AENDELEA KUVURUGA MIPANGO YA WAPINZANI KATIKA JIMBO LA ISMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu2sKIagwxc/VTiFA9Vh7cI/AAAAAAAAAMY/VndbvJ8lmWc/s1600/IMG-20150422-WA0069.jpg)
Na Fredy Mgunda,Iringa
Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa, Hassani Mtenga amewataka wananchi wa tarafa ya Pawaga katika jimbo la Isimani kuendelea kumwamini Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwa anawatendea haki kwa kuwaletea maendeleo.
akizungumza katika mkutano huo, MTENGA amewataka wananchi kuendelea kukiamini chama hicho kutokana na kutekeza ahadi zao ambazo wanakuwa wanaziahidi kwa...
10 years ago
VijimamboZITTO KABWE MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JIMBO LA URAMBO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s72-c/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s640/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hdz-n9BJrPk/VaAPZqL2-ZI/AAAAAAAAR_0/rIDfLnNY-OE/s640/E86A3224%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LAV7jKmCKM/VaAP-cwDcnI/AAAAAAAASBc/FH2cqmMCKBw/s72-c/E86A3273%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJIN
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LAV7jKmCKM/VaAP-cwDcnI/AAAAAAAASBc/FH2cqmMCKBw/s640/E86A3273%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-k5NN6Wpw50s/VGe_7wgwYcI/AAAAAAAATFg/wYWM1gjjdKY/s72-c/0.jpg)
MKUTANO WA KINANA KATA YA CHUMO WILAYANI KILWA WAFANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-k5NN6Wpw50s/VGe_7wgwYcI/AAAAAAAATFg/wYWM1gjjdKY/s1600/0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ha-n-vic9dg/VGe_8-oOvmI/AAAAAAAATFo/t3oLIkZ4QN0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ACEwfb-tHmA/VGfAM0atIsI/AAAAAAAATHA/sTnNm1wn6gY/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--Yf-6-f40K4/VGfAcrK0pHI/AAAAAAAATIY/AA6uKB5ujMs/s1600/3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog26 May
Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B2qE-spA_pM/VY2OxYWVibI/AAAAAAAC7jE/XHfRccH0AEk/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU NDANI YA JIMBO LA MAGU LEO,KESHO KURINDIMA JIMBO LA NYAMAGANA JIJINI MWANZA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B2qE-spA_pM/VY2OxYWVibI/AAAAAAAC7jE/XHfRccH0AEk/s640/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YMoLzEteqF0/VY2OyD40vKI/AAAAAAAC7jM/uhlUUZEty3Q/s640/17.jpg)