MKUTANO MKUU WA TATU WA WADAU WA PSPF WAANZA LEO JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-xlGOhtsyKxY/Uw389TznyiI/AAAAAAAFP0s/xJBQWYJVFx0/s72-c/b4.jpg)
Rais mstaafu wa awamu ya pili,Alhaj Ali Hassan Mwinyi, akizindua huduma mpya ya PSPF Pamoja nawe na PSPF call centre, itolewayo na mfuko wa Pensheni wa PSPF, baada ya kufungua Mkutano mkuu wa tatu wa wadau wa mfuko huo Feb 26.2014.
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya ukaribisho kwenye ufunguzi wa Mkutano mkuu wa tatu wa wadau wa mfuko huo leo Feb 26.2014,katika Ukumbi wa J.K Nyerere,jijini Dar es Salaam.
Wakurugenzi wa idara mbalimbali za mfuko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ryshAC4te3M/Uw3oWjkIUpI/AAAAAAACbKc/RysuMW_jrGc/s72-c/b4.jpg)
MKUTANO MKUU WA TATU WA WADAU WA PSPF WAFANYIKA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ryshAC4te3M/Uw3oWjkIUpI/AAAAAAACbKc/RysuMW_jrGc/s1600/b4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3S3FS8m0XGM/Uw3l4LXKjRI/AAAAAAACbJ4/_sDwz2HwEto/s1600/b1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x_dI61IUEfU/VWb4bWt8GPI/AAAAAAAHaWM/ot4J9vmaLaI/s72-c/DSCF5146.jpg)
MKUTANO WA 6 WA WADAU WA GEPF WAANZA LEO JIJINI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-x_dI61IUEfU/VWb4bWt8GPI/AAAAAAAHaWM/ot4J9vmaLaI/s320/DSCF5146.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JvLWydYUkQI/VWb4aRi0rsI/AAAAAAAHaWE/P-cteZqn-PY/s320/DSCF5066.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-d8KO7qZjGVU/VXbPyxprktI/AAAAAAAHdVI/uQfqAv7h0E4/s72-c/20150609043451.jpg)
Mkutano wa 4 wa wadau wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele waanza leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-d8KO7qZjGVU/VXbPyxprktI/AAAAAAAHdVI/uQfqAv7h0E4/s640/20150609043451.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-1Lymc1Ubo/VXbP0pDKKPI/AAAAAAAHdVc/W2Y8uuG7JQk/s640/20150609043451u.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ap0pun8CbA8/VBA2U4xW1gI/AAAAAAAGieo/WOuzas9MBKU/s72-c/24.jpg)
Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waanza rasmi leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ap0pun8CbA8/VBA2U4xW1gI/AAAAAAAGieo/WOuzas9MBKU/s1600/24.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b7bFBiunpfI/U3SSMmeqDEI/AAAAAAAFhzY/a0XE1eT9rMo/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA TATU JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-b7bFBiunpfI/U3SSMmeqDEI/AAAAAAAFhzY/a0XE1eT9rMo/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wZkjakw4TV4/U3SVLiroIWI/AAAAAAAFh2I/AU_67DdOY4I/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MVgD-77UiQs/UwxrbrkJ7EI/AAAAAAACbE8/NiqPFzZOQn8/s72-c/New+Picture+(4).png)
TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA WADAU PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-MVgD-77UiQs/UwxrbrkJ7EI/AAAAAAACbE8/NiqPFzZOQn8/s1600/New+Picture+(4).png)
TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA WADAU Mfuko wa Pensheni wa PSPF unatangaza kwamba kutakuwa na Mkutano Mkuu wa tatu wa wadau utakaofanyika tarehe 26 na 27 Februari 2014 kuanzia saa mbili na nusu asubuhi hadi saa kumi jioni katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere uliopo barabara ya Shaban Robert jijini Dar es salaam.
Madhumuni ya Mkutano huu ni kutoa taarifa ya hesabu ya mwaka na utendaji wa Mfuko na kutathmini mafanikio na...
10 years ago
MichuziGEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s72-c/MMGL0603.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s640/MMGL0603.jpg)
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlTEULL8IKs/VW2j7TY_3qI/AAAAAAAHbQQ/MSea8ArqUQw/s640/MMGL0325.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...