MKUTANO WA 6 WA WADAU WA GEPF WAANZA LEO JIJINI TANGA

Mgeni Rasmi katika Mkutano wa sita wa Mwaka wa Wadau wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Adam Malima akitoa hotuba yake katika ufunguzi wa Mkutano huo, ulioanza leo Mei 28, 2015 kwenye hoteli ya Regal Naivera, Jijini Tanga. Kauli mbiu ya Mkutano huo ni "Mafao Bora kwa Maisha yako ya Sasa na ya Baadae".PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Daud Msangi akizungumza wakati akitoa utambulisho wa wageni mbali mbali waliohudhulia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziGEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU
11 years ago
Michuzi
MKUTANO MKUU WA TATU WA WADAU WA PSPF WAANZA LEO JIJINI DAR



10 years ago
Michuzi
Mkutano wa 4 wa wadau wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele waanza leo jijini Arusha


11 years ago
Michuzi
Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waanza rasmi leo jijini Arusha

10 years ago
Michuzi
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAMALIZIKA LEO JIJINI ARUSHA


11 years ago
Michuzi
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO JIJINI MWANZA LEO

.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana (kushoto) baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza, Septemba 5, 2014. Kulia ni mfugaji na Mkulima kutoka Kiteto. Papian Emmanuel.
.jpg)
11 years ago
Michuzi
MKUTANO MKUU WA TATU WA WADAU WA PSPF WAFANYIKA JIJINI DAR LEO


10 years ago
Michuzi
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAENDELEA LEO AICC, JIJINI ARUSHA


11 years ago
MichuziMKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI WAANZA LEO JIJINI DAR
Robert Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu mabadiliko ya Tabianchi.
Meza ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa...