Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA SIKU MBILI KWA WANAHABARI WAMALIZIKA JIJINI ARUSHA

Mwenyekiti wa MISA-Tanzania ,Mohamed Tibanyendera akizungumza wakati wa mkutano wa wanahabari pamoja na wadau wao katika siku ya Uhuru wa vyombo vya habari Duniani,mkutano uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa AICC jijini Arusha.
Mgeni rasmi katika mkutano huo Mh Jaji Mstaafu Mark Bomani akitoa hotuba yake wakati wa mkutano wa wanahabari pamoja na wadau wao katika siku ya Uhuru wa vyombo vya habari Duniani,mkutano uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa AICC jijini Arusha.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAMALIZIKA LEO JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh. Felix Ntibenda akitoa Hotuba yake wakati wa kufunga Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha leo.Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh. Felix Ntibenda ili aweze kutoa hotuba ya kufunga Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wamalizika leo jijini Arusha

Mgeni Rasmi katika ufungaji wa Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mh. Jowika Kasunga akitoa hotuba yake ya kufunga Mkutano huo uliomalizima leo kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,Jijini Arusha.Picha zote na Othman Michuzi.Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PPF,Alhaj Ramadhan Khijja azungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufunga Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NYALANDU (MB), AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA MAJADILIANO KUHUSU UBORESHAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI NA UENDESHAJI MAENEO YA JUMUIA YA HIFADHI YA WANYAMAPORI TANZANIA, ULIOANZA JANA JULAI 2, 2015, JIJINI ARUSHA.

Imetayarishwa na theNkoromo Blog WAZIRI waMaliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii alipowasili kufungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mfumo wa usimamizi na uendeshaji Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania (WMA), ulioanza jana Julai 2, 2015, katika hotel ya Naura Spring, jijini Arusha. WAZIRI waMaliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana mdau wa masuala ya uhifadhi na utalii Willy Chambulo,...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA TATU JIJINI ARUSHA LEO

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe akiwasilisha mada yake iliyohusu Umuhimu wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii kwa Sekta zisizo rasmi wakati wa Mkutano wa nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF unaoendelea,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.  Bi. Faustina Nti kutoka nchini Ghana akiwasilisha Mada yake yenye kueleza uzoefu wa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA PILI JIJINI ARUSHA LEO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akisisitiza jambo wakati wa kujibu baadhi ya maswali ya Wadau wa NSSF wanaohudhulia Mkutano wa nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF ulioanza rasmi jana na kuendelea leo kwa siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha. Mwenyekiti wa Kikao cha kwanza siku ya leo,ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirika...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare

Na Mwandishi wa Wizaraya Mambo ya Nje.Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wameanza kikao cha siku mbili jijini Harare, Zimbabwe leo kufanya matayarisho ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya hiyo, utakaofanyika hapo tarehe 29 Aprili, 2015.

Kikao cha Mawaziri, kinachoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Mhe. Dkt. Simbarashe Mumbengegwi, kinatayarisha agenda ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi, ambao utajikita kwenye Mpango Mkakati wa Maendeleo ya...

 

10 years ago

Michuzi

JK afungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) jijini Dar es salaam leo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielezea jambo wakati akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015


  Mkurudenzi Mtendaji wa taasisi ya Twaweza Bw. Brian Eyakuze akimkaribisha...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI WAANZA LEO JIJINI DAR

 Jenerali Ulimwengu ambaye ndiye mwezeshaji  akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC

Robert Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu mabadiliko ya Tabianchi.
 Meza  ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa...

 

11 years ago

Michuzi

UHURU KENYATA AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI JIJINI ARUSHA,ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Pichani ni Rais wa Kenya ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mmashariki,Uhuru Kenyata akiwa anapanda mti nje ya jengo la ofisi ya makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) mapema leo jijini Arusha wakati alipokuwa na ziara ya sikumbili  ya kutembelea makao makuu ya jumuiya hiyo. Pichani ni  Spika wa bunge la Jmuiya ya Afrika Mashariki,Magrethi Ziwa  akiwa na  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani