MKUU WA MABALOZI NCHINI MAREKANI ATEMBELEA UBALOZI WA AFRICAN UNION, WASHINGTON DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkz5WeUMQMA/Uv6eNCmiQXI/AAAAAAACafo/DaIZ4pe4GV8/s1600/20140211_151751.jpg)
Balozi wa kudumu wa African Union nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mabalozi wote wanaowakilisha nchi zao nchini Marekani Mhe. Roble Olhaye alipotembelea ofisi za Ubalozi wa AU zilizopo Georgetown, Washington, DC leo Ijumaa Feb 14, 2014. Mkuu wa Mabalozi (Dean) nchiniMarekani Mhe. Roble Olhaye akitia saini kitabu cha wageni na baadae kufanya mazungumuzo na Balozi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkz5WeUMQMA/Uv6eNCmiQXI/AAAAAAACafo/DaIZ4pe4GV8/s72-c/20140211_151751.jpg)
MKUU WA MABALOZI NCHINI MAREKANI ATEMBELEA UBALOZI WA AFRICAN UNION, WASHINGTON, DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkz5WeUMQMA/Uv6eNCmiQXI/AAAAAAACafo/DaIZ4pe4GV8/s1600/20140211_151751.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8HpFqA9K8jY/Uv6d-phXKzI/AAAAAAACafg/sghcLkvzHII/s1600/20140211_151520.jpg)
10 years ago
VijimamboBALOZI MPYA WA MALAWI NCHINI MAREKANI ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi… ...
10 years ago
VijimamboBalozi mpya wa Senegal nchini Marekani atembelea ubalozi wa Tanzania Washington,DC leo Jumanne tarehe 10/02/2015.
10 years ago
GPLMAWAZIRI WA NCHI TANO AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON,DC NCHINI MAREKANI
Waziri wa Afrika Mashariki Mhe. Harrison Mwakyembe ambaye alikua mwenyekiti wa mkutano wa kujiandaa kutiliana saini makubaliano ya biashara na uwekezaji wa nchi za Afrika Mashariki na Marekani. Utiliano saini huo utafanyika siku ya Alhamisi Februari 26, 2015 katika Ofisi za Wizara ya Biashara Marekani, kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Richard Sezibera kutoka Burundi.… ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4c1RVjJOhXk/U9LArjucekI/AAAAAAAF6a8/VK5J62s7dQk/s72-c/313fa6f37f3637e4fbbb14a3503cd569.jpg)
Mhe Makalla atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC marekani leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-4c1RVjJOhXk/U9LArjucekI/AAAAAAAF6a8/VK5J62s7dQk/s1600/313fa6f37f3637e4fbbb14a3503cd569.jpg)
11 years ago
MichuziMARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziHARVARD CLUB OF WASHINGTON WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
10 years ago
VijimamboMHE PETER ILOMO KATIBU MKUU OFISI YA RAIS ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania