Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AIPA SIKU SABA HOSPITALI YA TMJ KUACHA KUTIRIRISHA MAJI TAKA

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda akimhoji fundi bomba wa Hospitali ya TMJ, Mansool Mramba kuhusiana na hospitali hiyo kutiririsha majitaka. Makonda (katikati) akiangalia moja ya mitaro huku akishuhudiwa na Muhandishi wa Barabara wa Manispaa ya Kinondoni, Ismail Mafita.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Shule za Green Acres zadaiwa kutiririsha maji taka

SHULE za Msingi na Sekondari za Green Acres zilizopo Tegeta Salasala, jijini Dar es Salaam, zinadaiwa kutiririsha maji ya kinyesi kupitia mkondo wa maji ya mvua. Imeelezwa kuwa tabia hiyo inaathiri makazi ya wananchi waishio eneo jirani na shule hizo.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA KINONDONI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MWANANYAMALA NA PALESTINA LEO

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda akisikiliza maelekezo kutoka kwa Daktari Hawa  Omary wa Hospitali ya Mwananyamala Jiji Dar es Salaam leo,wakati alipotembelea kuoa maendeleo ya Hospitali hiyo.Wa pili kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo,Dkt. Sophinias Ngonyani.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda akizungumza na wananchi waliofika katika Hospitali ya Rufaa ya Mwanyamala kupatiwa huduma ya matibabu,leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo,Dkt. Sophinias...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa wilaya Kinondoni afanya ziara hospitali ya Mwananyamala na Palestina kuangalia utendaji wake

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akiongea na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina, Dkt. Benedicto Luoga iliyopo Sinza jijini Dar es Salaama mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza jana kuangalia jinsi utendaji wake wa Kazi. Pembeni ni Katibu Tawala wa Manispaa ya Kinondoni.

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Palestina iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam kuangalia jinsi utendaji wake...

 

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Jordan Rugimbana leo amezindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni, na kuwa mtu wa kwanza kupokea kitambulisho chake mbali na kuwakabidhi wananchi 22 Vitambulisho vyao kutoka Kata ya Saranga mtaa wa Matangini. Mkuu wa Wilala ya Kinondoni akiwasili leo katika Kata ya Saranga Mbezi tayari kuzindua zoezi la utoaji Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi wa Kata ya Saranga, Mbezi Dar-es-salaam Mkuu wa Wilaya ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360

Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA,Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (hawapo pichani) wakati wa kutimiza siku 360 ofisini.Baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakimsikiliza Mkurugenzi wa mamlaka hiyo(hayupo pichani)Meneja Fedha wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Grace Msiru akizungumzia mafanikio na changamoto katika siku 360 kwa idara yake ya...

 

10 years ago

Michuzi

Lowassa amjulia hali askofu mkuu ruzoka hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam leo

Waziri mkuu mstaafu  na mbunge wa Monduli Mh edward Lowassa akimjulia hali leo hii askofu mkuu Katoliki jimbo Kuu la Tabora Paul Ruzoka katika hospitali ya TMJ Mikocheni jijini Dar es salaam alikokwenda kufanyiwa vipimo kufuatia ajali aliyoipata Igunga Mkoani Tabora.Mwenye shati jeupe ni Bishop Gwajima.

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa ameambatana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Ibrahim Msengi wakiwa na mwenyeji wao mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi,(MUWSA)mhandisi Cyprian Luhemeja wakati akitembelea chanzo cha maji cha Cofee Curing. Chanzo cha Maji cha Cofee Curing. Jengo dogo ambalo linatumika kuhifadhi dawa maalumu ya kuweka kwenye maji kwa ajili ya Chlorination. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJI SAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.

Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas Shirima akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana kuhusu ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizika Machi 7, mwakani (2015). Mradi huo mpaka unakamilika utagharimu kiasi cha fedha shilingi Bilioni 30.Pamooja na kutembelea mradii wa maji safi,Kinana pia alitembelea mradi wa maji taka wilayani humo mapema leo.Ndugu Kinana...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia  mpango huo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani