Mlinzi aidai shule Sh105 milioni
Mlinzi wa Shule ya Sekondari Nkoanrua iliyopo katika Halmashauri ya Meru mkoani hapa, Naftali Ole Lomaiyani amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuamuru alipwe Sh105 milioni anazodai kutokana na kazi yake hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 May
Aidai halmashauri Urambo Sh500 milioni
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...
10 years ago
Habarileo31 Jan
Watoto milioni 2 hawako shule
ZAIDI ya watoto milioni 1.7 wenye rika lengwa waliopaswa kuwepo shule, hawapo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kutoandikishwa, kuacha na kutoroka.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Shule za msingi zahitaji madawati milioni 3
SERIKALI imesema shule za msingi nchini zinahitaji jumla ya madawati milioni 3.3 na kwamba yaliyopo ni milioni 1. 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi...
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Zaidi ya wasichana milioni 130 hawaendi shule
10 years ago
Vijimambo24 Jan
Diwani aidai CCM fidia ya bilioni nne
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/bujugo-jan22-2015(1).jpg)
Diwani wa CCM kata ya Magomeni Dar es Salaam, Julian Bujugo, amekishtaki chama hicho akitaka kimlipe fidia ya Shilingi bilioni nne kwa kumsababishia hasara.
Bujugo, aliwaambia wanahabari kuwa amefungua shauri la madai na mlalamikiwa ni Jumuiya ya Wazazi ya CCM.
Alisema hatua hiyo inatokana na jumuiya hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Abdallah Bulembo, ‘kumpora’ Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole cha mjini Bagamoyo, ambacho ni mali ya jumuiya hiyo.
Hata...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Japan yachangia sh. milioni 160 shule ya msingi Kakuni
Kaimu Balozi wa Japan, Bw. Kazuyoshi Matsunaga akisoma risala fupi mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada wa shilingi milioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
*Waziri Mkuu aomba Watanzania wamuunge mkono
SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na sh. milioni...
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Milioni 59/- zatumika kujenga nyumba , vyoo Shule ya Munguli
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida,imetumia zaidi ya shilingi 59 milioni kugharamia ujenzi wa nyumba ya mtumishi,vyoo na ununuzi wa vitanda na magodoro ya shule ya msingi ya bweni, kijiji cha Munguli ambayo ni maalum kwa jamii ya Wahadzabe tu.
Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo,Bravo Lyapambile,wakati...