Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani aidai CCM fidia ya bilioni nne

Diwani wa CCM kata ya Magomeni, Julian Bujugo
Diwani wa CCM kata ya Magomeni Dar es Salaam, Julian Bujugo, amekishtaki chama hicho akitaka kimlipe fidia ya Shilingi bilioni nne kwa kumsababishia hasara.

Bujugo, aliwaambia wanahabari kuwa amefungua shauri la madai na mlalamikiwa ni Jumuiya ya Wazazi ya CCM.

Alisema hatua hiyo inatokana na jumuiya hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Abdallah Bulembo, ‘kumpora’ Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole cha mjini Bagamoyo, ambacho ni mali ya jumuiya hiyo.

Hata...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

RC ahimiza fidia ya bilioni 9.7/- Mbegani

HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo imetakiwa kuandaa vizuri tathmini ya wakazi 1,500 wa Mbegani ili waweze kulipwa fidia ya Sh bilioni 9.7 na kuondoka kwenye eneo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni

Serikali imepokea maombi ya fidia ya Sh5 bilioni kutoka kwa wananchi waliochomewa nyumba na kuharibiwa vifaa mbalimbali katika vurugu zilizosababishwa na masuala ya gesi mkoani Mtwara.

 

11 years ago

Mwananchi

IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni

Sakata la tuhuma za wizi wa pesa katika Akaunti ya Escrow ndani ya Benki Kuu (BoT) sasa limehamia mahakamani baada ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kumfungulia mashtaka Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.

 

9 years ago

Bongo5

Ribery aifungulia kesi CNN, adai fidia ya shilingi bilioni 3.2

6b2b3ad7-f89d-4643-9063-4a4da85314b8-2060x1236

Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya FC Bayern Munich, Frank Ribery amekishtaki kituo cha televisheni cha Marekani, CNN akikidai fidia ya dola milioni 1.5 sawa na shilingi bilioni 3.2 za Kitanzania.

riber

Ribery amekifungulia kesi kituo hicho cha TV kwa kutumia picha ya mwanasoka huyo katika kuelezea story juu ya matibabu ya cryotherapy – matibabu yanayohusisha kuuweka mwili kwenye sehemu kavu au yenye baridi kali ili kupunguza maumivu au kuponyesha kabisa.

riber11

Mwanasheria wake, Carlo...

 

10 years ago

Vijimambo

*MTIKILA AMSHITAKI MOKIWA, ADAI FIDIA YA SH BILIONI 1 KWA KUDHALILISHWA

Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kumshitaki Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania Dk. Valentino Mokiwa.Msingi wa kesi ni kwamba Askofu Mokiwa alimshika makalio Mtikila na kwamba kitendo hicho kilichotokea Juni 25 mwaka jana walipokutana maeneo ya Ilala, kimemdhalilisha.Mtikila alikuwa ameitwa na Askofu kujadili tamko la la Mtikila kwamba Kanisa la Anglican linajihusisha na ufisadi, ukiwemo wizi wa vifaa vya Hospitali ya Mission ya...

 

10 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAINGIZA SH.BILIONI 474 AWAMU YA NNE YA RAIS JAKAYA KIKWETE

 Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii. IDARA ya Uhamiaji katika awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete imeingiza zaidi ya Sh.bilioni 474 kwa kipindi cha miaka 10 ambayo imetokana na maboresho mbalimbali katika idara hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Kamishina wa Fedha na Utawala,Piniel Mgonja amesema kuwa katika awamu ya nne uhamiaji imeweza kufanya kazi ya kisasa kutokana na mifumo pamoja na ujenzi wa Chuocha kuendeleza maafisa wa idara hiyo.
Amesema katika utoaji wa hati ya kusafiria...

 

5 years ago

Michuzi

TARURA KUTENGENEZA BARABARA ZA KILOMITA 332 NA VIVUKO SITA KWA SH BILIONI NNE JIJI LA DODOMA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuhakikisha Jiji la Dodoma linaendana na hadhi ya Makao Makuu ya Nchi, Wakala wa Barabara za vijijini na mijini Tanzania TARURA) jijini humo limepanga kutengeneza na kufanyia marekebisho miundombinu ya barabara ili kuondoa changamoto wanazokutana nazo wananchi.

Hayo yamesemwa na Meneja wa TARURA jiji la Dodoma, Eng Geofrey Mkinga wakati akiwasilisha mpango na bajeti ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwenye kikao cha baraza la madiwani.

Eng...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diwani CCM lawamani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata Chimala, wilayani Mbarali, Mbeya kimemtaka diwani wa kata hiyo, Hussen Vayahe (CCM), kurudisha matofali zaidi 2,500 mali kata hiyo anayodaiwa kuyachukua   na kujengea...

 

11 years ago

Mwananchi

Diwani CCM mbaroni Singida

Diwani wa Kata ya Umyambwa, Tarafa ya Mungumaji, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Shaban Satu (CCM) na watu wengine tisa wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma moto basi la Kampuni ya Mtei Express ya Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani