RC ahimiza fidia ya bilioni 9.7/- Mbegani
HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo imetakiwa kuandaa vizuri tathmini ya wakazi 1,500 wa Mbegani ili waweze kulipwa fidia ya Sh bilioni 9.7 na kuondoka kwenye eneo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jan
Diwani aidai CCM fidia ya bilioni nne
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/bujugo-jan22-2015(1).jpg)
Diwani wa CCM kata ya Magomeni Dar es Salaam, Julian Bujugo, amekishtaki chama hicho akitaka kimlipe fidia ya Shilingi bilioni nne kwa kumsababishia hasara.
Bujugo, aliwaambia wanahabari kuwa amefungua shauri la madai na mlalamikiwa ni Jumuiya ya Wazazi ya CCM.
Alisema hatua hiyo inatokana na jumuiya hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Abdallah Bulembo, ‘kumpora’ Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole cha mjini Bagamoyo, ambacho ni mali ya jumuiya hiyo.
Hata...
11 years ago
Mwananchi06 May
Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni
11 years ago
Mwananchi14 Jul
IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni
9 years ago
Bongo509 Nov
Ribery aifungulia kesi CNN, adai fidia ya shilingi bilioni 3.2
![6b2b3ad7-f89d-4643-9063-4a4da85314b8-2060x1236](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/6b2b3ad7-f89d-4643-9063-4a4da85314b8-2060x1236-300x194.jpeg)
Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya FC Bayern Munich, Frank Ribery amekishtaki kituo cha televisheni cha Marekani, CNN akikidai fidia ya dola milioni 1.5 sawa na shilingi bilioni 3.2 za Kitanzania.
Ribery amekifungulia kesi kituo hicho cha TV kwa kutumia picha ya mwanasoka huyo katika kuelezea story juu ya matibabu ya cryotherapy – matibabu yanayohusisha kuuweka mwili kwenye sehemu kavu au yenye baridi kali ili kupunguza maumivu au kuponyesha kabisa.
Mwanasheria wake, Carlo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Sk9CMnR8xXo/VMXmwZdSeSI/AAAAAAACWOY/hoy7FKUlrCo/s72-c/mtikila.jpg)
*MTIKILA AMSHITAKI MOKIWA, ADAI FIDIA YA SH BILIONI 1 KWA KUDHALILISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sk9CMnR8xXo/VMXmwZdSeSI/AAAAAAACWOY/hoy7FKUlrCo/s640/mtikila.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Ndoto Bandari Mbegani yakamilika
NDOTO ya kuwa na Bandari mpya ya Mbegani kufikia mwaka 2017 na kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa miaka Mitano (2011/12 – 2015/16) imekamilika kwa takriban asilimia 90 kutokana...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s72-c/1-D92A8294.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BANDARI YA MBEGANI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s640/1-D92A8294.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qNsjO9eUmyE/UyW-iwg4ckI/AAAAAAAFT_Q/DnzdVAEfPfA/s72-c/unnamed+(40).jpg)
TATHMINI YA ARDHI YA BANDARI MPYA YA MBEGANI, BAGAMOYO, YAKAMILIKA