Ribery aifungulia kesi CNN, adai fidia ya shilingi bilioni 3.2
Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya FC Bayern Munich, Frank Ribery amekishtaki kituo cha televisheni cha Marekani, CNN akikidai fidia ya dola milioni 1.5 sawa na shilingi bilioni 3.2 za Kitanzania.
Ribery amekifungulia kesi kituo hicho cha TV kwa kutumia picha ya mwanasoka huyo katika kuelezea story juu ya matibabu ya cryotherapy – matibabu yanayohusisha kuuweka mwili kwenye sehemu kavu au yenye baridi kali ili kupunguza maumivu au kuponyesha kabisa.
Mwanasheria wake, Carlo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Sk9CMnR8xXo/VMXmwZdSeSI/AAAAAAACWOY/hoy7FKUlrCo/s72-c/mtikila.jpg)
*MTIKILA AMSHITAKI MOKIWA, ADAI FIDIA YA SH BILIONI 1 KWA KUDHALILISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sk9CMnR8xXo/VMXmwZdSeSI/AAAAAAACWOY/hoy7FKUlrCo/s640/mtikila.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-k6X35hytsdg/VYmJR-W0L7I/AAAAAAAACLY/jqwv2p6hNxc/s72-c/nicki-drake.jpg)
LIL' WAYNE AIFUNGULIA KESI CASH MONEY RECORDS KISA NICKI MINAJ NA DRAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-k6X35hytsdg/VYmJR-W0L7I/AAAAAAAACLY/jqwv2p6hNxc/s400/nicki-drake.jpg)
So ina maanisha Nicki Minaj na Drake wako njiani kuimwaga Cash Money Records?ama ni stori tu!?
![wayne](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/wayne.jpg?resize=494%2C329)
10 years ago
CloudsFM02 Apr
10 years ago
Habarileo06 Mar
Fidia Kipunguni yafikia Shilingi bilioni18
FIDIA ya wananchi wa Kipunguni waliobomolewa nyumba zao kwa ajili ya kupisha ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam imefikia Sh bilioni 18.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Adai fidia vyeti vyake kutumika
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Mvulana aliyetuhumiwa kuwa 'gaidi' adai fidia
10 years ago
Habarileo09 Nov
RC ahimiza fidia ya bilioni 9.7/- Mbegani
HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo imetakiwa kuandaa vizuri tathmini ya wakazi 1,500 wa Mbegani ili waweze kulipwa fidia ya Sh bilioni 9.7 na kuondoka kwenye eneo hilo.
11 years ago
Mwananchi06 May
Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni
10 years ago
Vijimambo24 Jan
Diwani aidai CCM fidia ya bilioni nne
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/bujugo-jan22-2015(1).jpg)
Diwani wa CCM kata ya Magomeni Dar es Salaam, Julian Bujugo, amekishtaki chama hicho akitaka kimlipe fidia ya Shilingi bilioni nne kwa kumsababishia hasara.
Bujugo, aliwaambia wanahabari kuwa amefungua shauri la madai na mlalamikiwa ni Jumuiya ya Wazazi ya CCM.
Alisema hatua hiyo inatokana na jumuiya hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Abdallah Bulembo, ‘kumpora’ Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole cha mjini Bagamoyo, ambacho ni mali ya jumuiya hiyo.
Hata...